Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,136
Norway's Equinor remains committed to Tanzania LNG project
Financial agreement changes imposed by Tanzanian government have left the project in limbo.
Kwa hivo kama commenters hawasupport inamaanisha haikufanyika?Kwenye comments hapo umeona hata mmoja anasupport huo upuuzi?
Siku hizi umechoka sana mdogo wangu. Nakumbuka miaka ya 2017 na kurudi nyuma, nyundo za maana ulikuwa unazigonga, lakini kwa sasa umekuwa mdebwedo. Unamwaga mipasho ya kutosha kama demu akiwa kwenye siku zake.Kwa hivo kama commenters hawasupport inamaanisha haikufanyika?
Watu kama nyinyi kiboko yenu yule jamaa wa mombasaHuko kwenu mnaliwa haga halafu unajifanya kushangaa watu wakifanya ngono mwanaume kwa mwanamke? Pelekeni Bongo star mwengine kwa Diddy alimwe.🤣
source mama ngina media 😂😂😂
Usifananishe Moshi na vitu vya kijinga. Ujinga ujinga wenu mwisho Namanga.Nionyeshe kama Kisumu imeflood nifunge account. (Na uonyeshe Kisumu City, sio Kano Plains ushagoo)🤣Alafu fananisha hiyo na hii yenu ya Moshi. Umejiaibisha sahii unatafuta pa kutokea.
Moshi drainage 🤣
View attachment 3121836
Hawa wakora hutumia neno international recklessly 😆Airport ya kifalamanga sana! haina control tower na bado mnaita international! Arusha airport is more complete facility than huu UKUNYA!
2nd kwa hiyo itapita Kilimanjaro international airport with over 1 min PAX n Zanzibar international airport about 2 min PAX?Kisumu ikiletwa Tanzania will be the 2nd busiest airport after Mabati Rolling Mill.
Alafu mbona mnakuanga very lazy to do a simple research, hnani amekuambia Kisumu airport hakuna control Tower?
Still no air-conditioning and it takes long hours on a mere distance of 470kmSomething like this can only happen in Kenyan SGR trains. Zile refurbished can’t even go beyond 55° 😂😂😂
View attachment 3122024
View attachment 3122025
Mbona unahamisha mada hapa tuna discuss Kenya vs Cameroon sasa Tanzania imetoka wapi tena?Just answer my question, when was the last time Tanzania defeated Kenya? Were you already born by that time?