Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haijawahi kukwama kwama porini
1728648085078.jpg
 
yani hata pesa ya kuondoa blackout hawana mpaka aje mwanaume awapumulie kichogoni 😂😂😂😂😂

View: https://x.com/omwambake/status/1844739308206301560?s=46

View: https://x.com/larrys_manta03/status/1844739573567410423?s=46

Duh ***** mambo gani haya walitunaga eti hatuandamani kisa DP WORLD ila tuna njia zetu za kudeal naye mwisho Sheria waliyotaka kuibadili walistisha, DP World waliishia kumpa uendeshaji wa Gati tu, same kwa Adani Gati 1. Ila TPA ndio mkuu (Though I hate them madafaka maana ni upuuzi wakati kuna watu wanaiweza kazi)

Hao wanaoandamana kila kukicha Kikowapi sasa Airport hiyo, KETAKO hiyo ni Adani ni sole investor.

Waingie tena barabarani huenda ikasaidia 😂😂😂


ChoiceVariable waambie wenzako Adani akitaka ajenge Hydroelectric Power yake mwenyewe asiguse zilizopo ambazo ni Mali ya Government.
 
 
Back
Top Bottom