Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wewe DR Congo unamuweza kwenye viwango vya Fifa!?
Tena goli lenyewe TZ tumejifunga kupitia mchezaji wetu Clement Mzize.
Pasi na Tanzania kujifunga basi DR Congo wasingeshinda.
Sawa Quack. Tuseme mmeshinda DR Congo bao tatu bila, happy now?😂😂🤣😂
 
Kuna tofauti ya individual na kampuni. Individual person anaweza kuua bila sababu ila kampuni iliyosajiliwa kuua mtu kisa amemshinda kulipa deni la 15k inaonyesha nchi imefeli.
Kweli wewe ni kima mpumbavu, sasa kikampuni binafsi kinahusiana nini na nchi kufeli.? 😂😂😂 kwa mkopo wa 300k Tz money.?
 
Back
Top Bottom