Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hilo haliondoi aibu ya polisi kutumia probox. Hapa Kenya magari mengi yanakuwa repossessed na serikali ila yanapigwa mnada. Hawapewi askari. Hii ni aibu.
😂😂😂😂😂😂 Unavyoongea mtu anaweza fikiri polisi wanasukuma Lamborghini.

Acha ujinga alafu mbona unainaga Gari ambayo ni KENYA ICON?
 
Kwa mwendo huu wa kukusanya picha za ndani ndani na kuita CBD inaonesha umekosa ulichotegemea kukuta mjini, Imagine mji kama moshi unakufanya utumie picha za TARAKEA Dar je?
Hawaamini wanasema picha nilizopiga Moshi ni Tarakea.
Picha ipi ya Tarakea bro? Hamuamini mji yenu? Ya Tarakea hii hapa kama unaitaka.🤣🤣. Still Vumbistan.🤣

1000334233.jpg
 
Kwa mwendo huu wa kukusanya picha za ndani ndani na kuita CBD inaonesha umekosa ulichotegemea kukuta mjini, Imagine mji kama moshi unakufanya utumie picha za TARAKEA Dar je?
Alichotarajia kuona kakosa 😂😂😂 sasa ameona akaze fuvu na kuanza kuongopea umma.. bahati mbaya ni kwamba sisi huko aliko tushaenda mara zisizohesabika na kutudanganya ni hawezi. Kabaki kutapa tapa tu. 😂😂
 
😂😂😂😂😂😂 Unavyoongea mtu anaweza fikiri polisi wanasukuma Lamborghini.

Acha ujinga alafu mbona unainaga Gari ambayo ni KENYA ICON?
Hawasukumi Lamborghini. Wanatumia magari yafuatayo.
Mercedes Benz E-Class (wakubwa)
Toyota Land cruiser heavy duty
Subaru Outback (CID)
Subaru Legacy (CID)
Nissan Patrol Pickup
Nissan Xtrail
Ford Ranger
Peugeot 5008
Mahindra Scopio

See? No probox.😉
 
Hawasukumi Lamborghini. Wanatumia magari yafuatayo.
Mercedes Benz E-Class (wakubwa)
Toyota Land cruiser heavy duty
Subaru Outback (CID)
Subaru Legacy (CID)
Nissan Patrol Pickup
Nissan Xtrail
Ford Ranger
Peugeot 5008
Mahindra Scopio

See? No probox.😉
Weka picha za gari zote.

And who told you Government yetu inanunua Probox for Police?
 
Bongoslum imejaa wanaume waoga tunajua hamuwezi andamana, mama yenu amewafinya mak*nde hamna ujasiri hata kidogo. 🤣 🤣 🤣
Ninyi baada ya Ruto kuwapiga risasi zaidi ya watu 70 mmepata nini zaidi ya kula githeri ya parliament? 😂😂😂
 
Back
Top Bottom