Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yaan hawa jamaa sijui wanajionaga wako dunia ya ngapi, wakati tunajua wao nimaskini tu. imagine mji mkuu wenye watu 5mil ina watu wasio na makaazi maalum au slums za zaid ya 3mil huku dar es salaam yenye 8.1mil hakuna slum inayotambulika duniani
Mkuu most of kunyan ni mazwazwa,wanatawaliwa kipropaganda,wenyewe kale kanaikundu wanakaona kama ulaya flan na sehemu nzuri ni eastleigh,kenyata avenue,upperhill na kilimani,ukitoka kwenda uswekeni ni uchafu mtupu,naikundu haina mitaa kama ile ya magomeni,kinondoni,temeke wailes,kijitonyama,sinza hata mitaa kama tabata naikundu hamna,ukitoka naikundu cbd 2 km unakutana na nyumba za mabati na tope jekundu,huko nyeri sijui karen ni kwa madon sio hawa pangu pakavu,thus y 3 milion people na point wanaishi kwenye nyumba za mabati pale nakunduslum
 
Hamna waziri wa afya kenya au mganga mkuu wa serikari kudhibitisha haya unayo yasema ili tuamini unataka tuwamini nyie kundustan au tuwamini viongozi wetu
Matters touching on the health of a sitting President are not held kimandazi unavyodhania. It is highly classified if you know what that means. No one can come out publicly and give out such information, whether it is a minister or not without following due diligence. Ndio maana mliambiwa kwamba alikuwa busy anachapa kazi while in real sense he was in his deathbed breathing his last.

If you expected Kenyan government officials to come out publicly and admit that Magufuli was indeed admitted in Nairobi Hospital then you don't know the intelligence surrounding the affairs of the president, his health and family matters.

Nation being a media house, got wind of it and published an article about it but the matter was highly classified
 
Matters touching on the health of a sitting President are not held kimandazi unavyodhania. It is highly classified if you know what that means. No one can come out publicly and give out such information, whether it is a minister or not without following due diligence. Ndio maana mliambiwa kwamba alikuwa busy anachapa kazi while in real sense he was in his deathbed breathing his last.

If you expected Kenyan government officials to come out publicly and admit that Magufuli was indeed admitted in Nairobi Hospital then you don't know the intelligence surrounding the affairs of the president, his health and family matters.

Nation being a media house, got wind of it and published an article about it but the matter was highly classified
Muone huyu naye na kichwa chake kikubwa kama Boga, hivi Magufuli asiende SA au ulaya au India kutibiwa aje Kenya tunapowapa misaada ya dawa? Una akili wewe? Yaani serikali yake inajua kabisa adui namba moja wa serikali ya Kenya ni Magufuli alafu wampeleke huko huko, ikiwa kwenye huduma bora za afya tu tumewaacha mbali, zen Rais wa Tanzania aje Kenya, we kipapa kweli wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu most of kunyan ni mazwazwa,wanatawaliwa kipropaganda,wenyewe kale kanaikundu wanakaona kama ulaya flan na sehemu nzuri ni eastleigh,kenyata avenue,upperhill na kilimani,ukitoka kwenda uswekeni ni uchafu mtupu,naikundu haina mitaa kama ile ya magomeni,kinondoni,temeke wailes,kijitonyama,sinza hata mitaa kama tabata naikundu hamna,ukitoka naikundu cbd 2 km unakutana na nyumba za mabati na tope jekundu,huko nyeri sijui karen ni kwa madon sio hawa pangu pakavu,thus y 3 milion people na point wanaishi kwenye nyumba za mabati pale nakunduslum
Hio Eastleigh sio nzr hata kidogo...kuna wasomali huko ni wachafu balaa...

Ni kawaida kukuta leaking seawage huko...wasiwadanganye na picha za juu...

Upperhill ni eneo lenye barabara mbovu zisizo na sidewalks na manyaya ya stima yamefungwa kama yale ya kisutu tunayolalamika kila siku hapa..
 
Hio Eastleigh sio nzr hata kidogo...kuna wasomali huko ni wachafu balaa...

Ni kawaida kukuta leaking seawage huko...wasiwadanganye na picha za juu...

Upperhill ni eneo lenye barabara mbovu zisizo na sidewalks na manyaya ya stima yamefungwa kama yale ya kisutu tunayolalamika kila siku hapa..
Wasomali wamejitahidi kupajenga,raha yake hapo kuna mbunye za mabibi wa kisomali,unaenda kwake unafungiwa ndani kutwa nzima 😀
 
Muone huyu naye na kichwa chake kikubwa kama Boga, hivi Magufuli asiende SA au ulaya au India kutibiwa aje Kenya tunapowapa misaada ya dawa? Una akili wewe? Yaani serikali yake inajua kabisa adui namba moja wa serikali ya Kenya ni Magufuli alafu wampeleke huko huko, ikiwa kwenye huduma bora za afya tu tumewaacha mbali, zen Rais wa Tanzania aje Kenya, we kipapa kweli wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe na mdomo kama ya ngiri haya maneno ya kukiri umetoa wapi? Hebu leta ushahidi Tanzania inaizidi Kenya in matters health
 
IMG_0349.jpeg
IMG_0350.jpeg
IMG_0351.jpeg
IMG_0352.jpeg






wakifika huku watakua hoi sana😂😂

View: https://x.com/azamtvtz/status/1839288287179014179?s=46
 
so jezi za gor mahia zimekua designed na sheriangowi😂😂😂 kwan kenya hakuna designers siku hzi


View: https://www.instagram.com/p/C_lXWfrqB6_/?igsh=MXU0aTc0ajByNHRyYw==

Kwenye mambo yanayohusu soka tushawatawala, hawa wanuka mavi wa humu wamebaki kupiga piga kelele tu, Kenya hakuna ma designer wazuri na ndiyo maana Gor Mahia ilikuwa inavaa mijezi kama timu kutoka daraja la sita, hata logo yao inabidi tuwadizainie sisi. Logo ya Gor Mahia imekaa kijua kali
Screenshot_20240802-084055~2.png
 
Mkuu most of kunyan ni mazwazwa,wanatawaliwa kipropaganda,wenyewe kale kanaikundu wanakaona kama ulaya flan na sehemu nzuri ni eastleigh,kenyata avenue,upperhill na kilimani,ukitoka kwenda uswekeni ni uchafu mtupu,naikundu haina mitaa kama ile ya magomeni,kinondoni,temeke wailes,kijitonyama,sinza hata mitaa kama tabata naikundu hamna,ukitoka naikundu cbd 2 km unakutana na nyumba za mabati na tope jekundu,huko nyeri sijui karen ni kwa madon sio hawa pangu pakavu,thus y 3 milion people na point wanaishi kwenye nyumba za mabati pale nakunduslum
Temeke, moja ya mitaa fahari na ya kutajika Dar
Screenshot_20240926-173039.jpg
Screenshot_20240926-172844.jpg
Screenshot_20240926-172725.jpg


Screenshot_20240926-172651.jpg



Ruaraka, moja ya mitaa ya mabanda Nairobi 😂😂
images - 2024-09-26T174727.339.jpeg
images - 2024-09-26T173747.717.jpeg
images - 2024-09-26T174005.956.jpeg
images - 2024-09-26T173301.226.jpeg
images - 2024-09-21T005520.445.jpeg
images - 2024-09-21T004307.877.jpeg
images - 2024-09-21T005404.572.jpeg
images - 2024-09-26T174005.956.jpeg
images - 2024-09-26T173928.431.jpeg
 
Asante naona akili zinarudi taratibu. Key word "he died in Mzena Hospital" 👆
Magufuli was already brain 🧠 dead when he was discharged from Nairobi hospital under life support. 'a brain dead person cannot be restituted'
He was to be flown to India but it was too late 😔 and so they decided to fly to Dar and unplug life support machines at Mzena Hospital where his death was officially announced
 
Back
Top Bottom