Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

MATHARE NAIROBI
1727282029939.png
 
Hizi maeneo down there Nyumba karibu zote zimekula nyundo na zinaendelea kula nyundo. Mradi wa mto Msimbazi. 👇🏾View attachment 3106354Cheki kazi hiyo 👇🏾View attachment 3106357View attachment 3106358View attachment 3106355View attachment 3106356😂😂😂 sasa sijui utapost nini next year. 😂😂😂
Sama boy 255 umeharibu mzee, ungewaacha waendelee kujiconsole na vipicha vya 90s wakija kustuka tupo level ya Singapore, hivi hujiulizi kwann hatuupost huo mradi? Unadhani hatupiti hapo au hatujui kinachoendelea? Hapana tumeacha ili waje kustuka pameisha, kama kiwanda cha SINOTRUCK si uliona walivyoumia kwamba hatukuwapa taarifa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
HAYA TUONGELEE GDP BAINA YA KENYA NA TANZANIA
GDP ya kenya ya mwaka ilikuwa 107.44bil usd ikiwa imeshuka kutoka 113.42bil usd ya mwaka 2022.
DENI taifa la kenya liko kwenye 68.2% ya GDP ya kenya.
Hivyo tukisema wenzetu wawe wanalipa deni kila mwaka kwa kulingana na GDP YA mwaka 2023 itakuwa,
107.44*0.682=73.274
SURPLUS= 107.44-73.274=34.166
73.274 bil itatumika kulipa deni huku wakibakiwa na surplus ya 34.166 ambayo ndo itatumika kulipia huduma zote za nchini kenya
TANZANIA
GDP 79.158
PUBLIC DEBT 36.6%
MALIPO YA DENI 79.158*0.366=28.97
SURPLUS 79.158-28.97=50.186
kwa hiyo kutokana na nafasi nzuri ya kuwepo kwa surplus unaotokana na uzalishaji, Tanzania inanafasi kubwa ya kufanya maendeleo kwa kiwango cha usd 16.02bil
POINT YANGU
unaweza kuwa na GDP kubwa sana lakini isiwe na manufaa kwa sababu utahitaji kutumia kiwango zaid ya nusu kufanya malipo huku mwenzako mwenye deni dogo akiwa anafanya vitu vya maana zaidi yako.
 
HAYA TUONGELEE GDP BAINA YA KENYA NA TANZANIA
GDP ya kenya ya mwaka ilikuwa 107.44bil usd ikiwa imeshuka kutoka 113.42bil usd ya mwaka 2022.
DENI taifa la kenya liko kwenye 68.2% ya GDP ya kenya.
Hivyo tukisema wenzetu wawe wanalipa deni kila mwaka kwa kulingana na GDP YA mwaka 2023 itakuwa,
107.44*0.682=73.274
SURPLUS= 107.44-73.274=34.166
73.274 bil itatumika kulipa deni huku wakibakiwa na surplus ya 34.166 ambayo ndo itatumika kulipia huduma zote za nchini kenya
TANZANIA
GDP 79.158
PUBLIC DEBT 36.6%
MALIPO YA DENI 79.158*0.366=28.97
SURPLUS 79.158-28.97=50.186
kwa hiyo kutokana na nafasi nzuri ya kuwepo kwa surplus unaotokana na uzalishaji, Tanzania inanafasi kubwa ya kufanya maendeleo kwa kiwango cha usd 16.02bil
POINT YANGU
unaweza kuwa na GDP kubwa sana lakini isiwe na manufaa kwa sababu utahitaji kutumia kiwango zaid ya nusu kufanya malipo huku mwenzako mwenye deni dogo akiwa anafanya vitu vya maana zaidi yako.
Yet Tanzania is still ranked among the poorest countries in the world😂😂
 
Yet Tanzania is still ranked among the poorest countries in the world😂😂
poorest in terms of what? huwezi compare umaskini uliopo kenya na Tanzania.
tuachane na data za mitandaoni tuingie mtaani mji kwa mji street to street tuoneshane na maskini zaidi.
mfano mmoja ni tu kiwango cha slums kilichopo kenya na tanzania, upatikanaji wa chakula kenya tanzania na kenya viko sawa?
twende asilimia ya watu wanaotoka tanzania kwenda nje kutafuta maisha kati ya kenya na tanzania iko sawa . watanzania wengi hawataki kwenda nje kwa sababu ni rahis kutengeneza maisha tanzania kuliko huko.
tukija kwenye incetives za kupunguza umaskini kati ya kenya na tanzania, je viko sawa?
hivi unajua kwa tanzania kuna programe ya mikopo kwa vikundi vya vijana, walemavu, na vijana na ni endelevu?

tupe incetives za serikali yenu kupunguza umaskini kwa wananchi wake?
 
Back
Top Bottom