Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

zaidi ya sofa za kijinga zakuzurura zurura nchi za watu.....

kwa research iliyowazi bila hata kufanyika unaambiwa ukiona unaproduce wingi wa RAIA Wanaozamia nchi nchi za watu nakuomba uraia kwa wingi ujue nchi yako inaumaskini mkubwa na haitoweza kuwa stable daima kwenye uchumi.....

hii yote inatokana na nchi zote zilizo tajiri RAIA wao wengi hubaki na nchi yao kujenga taifa mfano German,U.S.A,CHINA,JAPAN,UINGEREZA,TANZANIA Nakadharika

Kenya inaproduce wazamiaji hivyo ni nchi maskini
Wakenya hawajafundishwa hivi,wao wamefundishwa vingine.

Kwamba mtu akiomba uraia nchi nyingine na kukimbia kwao maana yake.anaenda kusaidia watu wengine.huku ameacha jamii ya kibela.[/QUOTE]
kanuni yao ni ivi eti kuwa na wingi Wa RAIA wanaoishi nnje ni ujanja......

Kenya hoyee.....[emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] mi huwa nawacheka hebu yaani hawajifunzi kutoka south Africa,waarabu na Tanzania...
 
politics kidogo:
"msee" wa ahadi zisizotekelezeka...nadhani kabla hajapanda kwa podium huwa kwanza anakula miraa au kupiga puff tatu za wida.
9eb5501a56f7883fc7d7f70ee7622c64.jpg


juzi kati kahaidi watu wa EA ikiwemo tz eti hawatahitaji passport kuingia kenya...ni national ID[emoji23] [emoji23] ..ni mtz mjinga tu ataamini hiyo ahaadi.

BTW vp ile ahadi ya laptop kwa kila mwanafunzi nchini kenya,imefikia wapi?...just asking though.

NB:
hapo kwa screenshot naona amekazia issue ya food security... kweli njaa mbaya sana mpaka imekuwa main agenda ya rais katika muhula wake.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
You guys have nothing to brag about.
In the top 65 Africa rankings kenya has 7, in the top 100 Tz has 1.

Rank University Country
1 University of Cape Town za South Africa
2 University of South Africa za South Africa
3 University of Pretoria za South Africa
4 University of the Witwatersrand za South Africa
5 Universiteit Stellenbosch za South Africa
6 University of KwaZulu-Natal za South Africa
7 University of Johannesburg za South Africa
8 University of Nairobi ke Kenya
9 The American University in Cairo eg Egypt
10 University of the Western Cape za South Africa
11 Rhodes University za South Africa
12 Cairo University eg Egypt
13 North-West University za South Africa
14 Nelson Mandela Metropolitan University za South Africa
15 Universiteit van die Vrystaat za South Africa
16 Universidade Eduardo Mondlane mz Mozambique
17 Makerere University ug Uganda
18 University of Ibadan ng Nigeria
19 Cape Peninsula University of Technology za South Africa
20 Mansoura University eg Egypt
21 University of Ghana gh Ghana
22 Kenyatta University ke Kenya
23 Université de la Reunion re Reunion
24 Université Cheikh Anta Diop sn Senegal
25 Egerton University ke Kenya
26 Moi University ke Kenya
27 Durban University of Technology za South Africa
28 University of Dar es Salaam tz Tanzania
29 University of Lagos ng Nigeria
30 Kwame Nkrumah University of Science and Technology gh Ghana
31 The German University in Cairo eg Egypt
32 Ain Shams University eg Egypt
33 Tshwane University of Technology za South Africa
34 University of Botswana bw Botswana
35 Obafemi Awolowo University ng Nigeria
36 University of Khartoum sd Sudan
37 Université Mohammed V ma Morocco
38 Strathmore University ke Kenya
39 Addis Ababa University et Ethiopia
40 Université Abou Bekr Belkaid Tlemcen dz Algeria
41 Al Akhawayn University ma Morocco
42 Namibia University of Science and Technology na Namibia
43 Université des Frères Mentouri de Constantine 1 dz Algeria
44 Zagazig University eg Egypt
45 Université des Sciences et de la Technologie Houari Boumediène dz Algeria
46 Ahmadu Bello University ng Nigeria
47 Université Kasdi Merbah de Ouargla dz Algeria
48 University of Zimbabwe zw Zimbabwe
49 University of Fort Hare za South Africa
50 Assiut University eg Egypt
51 Benha University eg Egypt
52 Alexandria University eg Egypt
53 University of Namibia na Namibia
54 University of Ilorin ng Nigeria
55 Covenant University ng Nigeria
56 University of Nigeria ng Nigeria
57 Université Cadi Ayyad ma Morocco
58 Université Mohamed Khider de Biskra dz Algeria
59 Sudan University of Science and Technology sd Sudan
60 Jomo Kenyatta University of Agriculture and Technology ke Kenya
61 Ndejje University ug Uganda
62 University of Mauritius mu Mauritius
63 The British University in Egypt eg Egypt
64 Central University of Technology za South Africa
65 United States International University ke Kenya
66 Vaal University of Technology za South Africa
67 Université Mouloud Maameri de Tizi Ouzou dz Algeria
68 University of Rwanda rw Rwanda
69 Université Sidi Mohamed Ben Abdellah ma Morocco
70 Jimma University et Ethiopia
71 University of Benin ng Nigeria
72 University of Zululand za South Africa
73 Université Batna 1 dz Algeria
74 Université d'Alger 1 dz Algeria
75 Sokoine University of Agriculture tz Tanzania
76 University of Zambia zm Zambia
77 Université Ferhat Abbas de Sétif 1 dz Algeria
78 Helwan University eg Egypt
79 Université Abdelhamid Ibn Badis Mostaganem dz Algeria
80 Université Abderrahmane Mira de Béjaia dz Algeria
81 University of Abuja ng Nigeria
82 University of Port Harcourt ng Nigeria
83 Mzumbe University tz Tanzania
84 University of Swaziland sz Swaziland
85 Modern Sciences and Arts University eg Egypt
86 South Valley University eg Egypt
87 Federal University of Technology, Minna ng Nigeria
88 Jaamacada Kismaayo so Somalia
89 Misr International University eg Egypt
90 University of Venda za South Africa
91 Misr University for Science and Technology eg Egypt
92 Université Abdelmalek Essadi ma Morocco
93 Université Hassiba Ben Bouali de Chlef dz Algeria
94 Uganda Christian University ug Uganda
95 Université Ibnou Zohr ma Morocco
96 Université de Yaoundé I cm Cameroon
97 University of Limpopo za South Africa
98 Université Djillali Liabès de Sidi-Bel-Abbès dz Algeria
99 Université Badji Mokhtar de Annaba dz Algeria
100 University of Malawi mw Malawi

Top 200 universities in Africa ranking features 3 Universities from Cameroon! | BETA TINZ
ranks zinaendana na ukongwe Wa chuo ukongwe Wa chuo hipata ranks za juu kulingana na wingi Wa wasomi waliozalishwa.......hivyo ubora wao Wa vyuo ndiyo hupimwa kwa kiwango hicho

acha ushamba ranks si kitu
 
hawa wanakaa KK Security guards..yani wanauliwa 15 DRC..nA WAKIENDA SOMALIA SASA?????????????
The biggest UN peacekiping mission yenye askari zaidi ya 120,000 kutoka nchi zaidi ya 10 duniani ipo DRC not Somalia, alshaabab wamewashinda mnaanza kupiga kelele, Tanzania imeshamaliza kazi waliyotumwa huko DRC, vijana wetu walikuwa wametulia tu wakisubiri siku ya kurudi nyumbani.
 
politics kidogo:
"msee" wa ahadi zisizotekelezeka...nadhani kabla hajapanda kwa podium huwa kwanza anakula miraa au kupiga puff tatu za wida.
9eb5501a56f7883fc7d7f70ee7622c64.jpg


juzi kati kahaidi watu wa EA ikiwemo tz eti hawatahitaji passport kuingia kenya...ni national ID[emoji23] [emoji23] ..ni mtz mjinga tu ataamini hiyo ahaadi.

BTW vp ile ahadi ya laptop kwa kila mwanafunzi nchini kenya,imefikia wapi?...just asking though.

NB:
hapo kwa screenshot naona amekazia issue ya food security... kweli njaa mbaya sana mpaka imekuwa main agenda ya rais katika muhula wake.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Asipokubali kuachia ardhi aliyoipora kwa wananchi, njaa haitokwisha, laptop project alikanusha kwamba hajawahi kutoa hiyo ahadi, wakenya walumuelewa vibaya, huyo ndiye Uhuru Kenyatta[emoji23] [emoji23]
 
To me hata hivyo 27 ni vingi sana, we don't need lots of universities, tunahitaji vyuo vingi zaidi vya ufundi stadi,
Our society needs skilled labour, not lots of graduates with Knowledge but Zero skills.
Ukichengwa babaa kubali.
 
The biggest UN peacekiping mission yenye askari zaidi ya 120,000 kutoka nchi zaidi ya 10 duniani ipo DRC not Somalia, alshaabab wamewashinda mnaanza kupiga kelele, Tanzania imeshamaliza kazi waliyotumwa huko DRC, vijana wetu walikuwa wametulia tu wakisubiri siku ya kurudi nyumbani.
DRC Wanatumia panga ..somalia wanatumia bomu my friend
 
hapo sasa ndipo utajua nyie wakenya ni maandazi sana MTU analeta hoja za panga na mabomu.....

kweli wakenya mpo more than educated dah[emoji22] [emoji22] [emoji30] [emoji30]
 
hapo sasa ndipo utajua nyie wakenya ni maandazi sana MTU analeta hoja za panga na mabomu.....

kweli wakenya mpo more than educated dah[emoji22] [emoji22] [emoji30] [emoji30]
Lete hoja Losermatic. Kazi yako ni ku criticize anything and everything
 
DRC Wanatumia panga ..somalia wanatumia bomu my friend
UN imepeleka 120,000 troops from different countries around the world, Somalia UN imepeleka wanajeshi wangapi?, walipoona kwamba pamoja na hao wote lakini bado M23 waliendelea kusumbua, Ban Ki Moon aliomba wanajeshi nchi gani wakamalize M23?.

Kama Alshaabab wamewashinda ombeni UN waombe msaada toka Tanzania tumalize hiyo biashara, Alshabaab itabaki kwenye vitabu vya historia kama M23
 
Mimi ninazungumzia full time students at one campus, Open University of Tanzania ina zaidi ya 500,000 students, all over the country, hiyo hatuhesabu, main campus hapo Nairobi, full time ndiyo uniambie
500,000 students? Hebu prove that mbiombio...
 
Back
Top Bottom