Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante kwa render😂😂🤣😂
1726505123444.png

haha nilijua utakurupuka wajenzi is company registered in tanzania
 
Hii inausikanaje na mjadala tuliokuwa nao? Ama ni uchungu uko nao.😂
nyinyi humu kila siku mnaleta picha za majengo na mimi nikawauliza kuwa hakuna miradi mingine ambayo iko inaendelea, hamkujibu na mjadala uliokuwepo ni wakuleta nauli pendekezwa ya public tranport zilizopo nairobi mkaleta picha.
tumeomba link ya nauli zenu tuweze kuprove hamjaleta ila mmekimbilia kuleta picha za talanta.
kwa hivyo nyinyi mmeshindwa kujustify nauli zenu, pia siku zote huwa ,mnajifanya kudivert mijadala, nyinyi si barabara then sisi tuna ujenzi wa mambo kadha wa kadha. ACHENI KUDIVERT MADA
 
nyinyi humu kila siku mnaleta picha za majengo na mimi nikawauliza kuwa hakuna miradi mingine ambayo iko inaendelea, hamkujibu na mjadala uliokuwepo ni wakuleta nauli pendekezwa ya public tranport zilizopo nairobi mkaleta picha.
tumeomba link ya nauli zenu tuweze kuprove hamjaleta ila mmekimbilia kuleta picha za talanta.
kwa hivyo nyinyi mmeshindwa kujustify nauli zenu, pia siku zote huwa ,mnajifanya kudivert mijadala, nyinyi si barabara then sisi tuna ujenzi wa mambo kadha wa kadha. ACHENI KUDIVERT MADA
Shida yako unataka tupost unachotaka wakati sisi tunapost tunachotaka. Wewe endelea kupost esigiiara Wacha sisi tupost Talanta, sawa? 😉😎👊🏾
 
Back
Top Bottom