Utamuonaje dereva wakati huko mbele kuna cabin 🤣🤣🤣
Utamuonaje dereva wakati huko mbele kuna cabin 🤣🤣🤣
😅😂😂😂😂😂😂We jamaa umelewa nini!??You do realize Isuzu is a superior brand to any bus manufacturer in China don't you?
Kenya has outdated form of railway/jointed rail system.Jibu swali, Kenya kuna railway ama hakuna?
Huyo mbishi na kichaa kuliko wewe kaka.When did you sell more than us? Weka data wewe mbuzi.
Treni imekwama mara 3 hadi sasa.Mtu hawezi amini kitu kimeshazima Mara 7 kwa miezi miwili 😂😂😂😂
Nenda mipakani uone movement ya bidhaa nyingi zinatokea nchi gani kuingia nchi nyingine,nyie endeleeni kupika data kuzuia maandamano ila ukweli mnaujuaKila siku bidhaa za Tanzania huwa cheap but we still sell more kuwaliko😂😂
Mbona abiria wanangoja train nje ya station?Hiyo ni station ya reli ya muda ya MGR ya Gerezani.
Station kuu ilikua posta.
Sema imehamishiwa hapo.
Na hapo ni upande wa nje sio sehemu ya abiria.
Abiria wanasimama kwa tracks na huoni shida. Enyewe we ni bongolala.Sasa kwenye hiyo reli kuna shida gani!?
Au umeanza kudata siku hizi?
mambo kama haya hamutaki kuskia😂😂Abiria wanasimama kwa tracks na huoni shida. Enyewe we ni bongolala.