Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You confirmed something that is so obvious. Shortage ya dawa za TB kipindi hicho ilisababishwa na logistics issues arising from the side of the suppliers. If you read your article well, it's well stated so. Nitajje ni wapi hiyo article inaesema kwamba huo upungufu ilisababishwa na Kenya kukosa hela za kununua hizo madawa as you claim here. Nyinyi ni madesperado tu
Inamaana huoni swali langu?
 
Talanta Stadium progressing well.


Image



Image



Image



Image
 
Bongolala, so Kwa akili yako finyu you think Kenya had no money to buy the drugs? Where did we get the money to buy those drugs before the shortage? And where did we get the money to buy the drugs after the situation was contained? Mnapenda sana kujilkwaza na kujipa matumaini pasipo na matumaini
Kwani kuwa na hela zamani na kukosa hela sasa hivi haiwezekani!??

Hiyo inajulisha ya kuwa hamkuwa na pesa wakati huo.
Kama mngekua nazo msingekaa miezi minne kuanzia October 2023 hadi January 2024.
Mlikatikiwa na bajeti katika wizara yenu ya fedha kubalini msikatae.
 
Bongolala, wacha kujitekenya na kujichekea. You focus on the four months forgetting that Kenya has been importing these drugs since time immemorial. Swali ni je, hizo miezi na miaka za nyuma tulitoa wapi pesa za kununua hizo drugs ndio tushindwe kuzinunua Kwa kipindi Cha miezi minne tu. Na baada ya huo upungufu kuisha, pesa tunazonunulia dawa za TB ni hiyo madafu yenu? Mibongolala ni mibongolala tu!
Huna akili na huna upembuzi.
Serikali kukatikiwa na fedha ni jambo la kawaida.
Kenya wizara yenu ya afya ilikatikiwa na fedha ndio maana mlikaa miezi minne bila dawa.
Kama mngekua na fedha mngenunua mwezi ule dawa zilivyoisha.
Wacha kutafuta sababu zisizo na mashiko.
 
You confirmed something that is so obvious. Shortage ya dawa za TB kipindi hicho ilisababishwa na logistics issues arising from the side of the suppliers. If you read your article well, it's well stated so. Nitajje ni wapi hiyo article inaesema kwamba huo upungufu ilisababishwa na Kenya kukosa hela za kununua hizo madawa as you claim here. Nyinyi ni madesperado tu
Lete hiyo sehemu inayosema hivyo.
Hizo logistics issue ni zipi zinazosababisha mpaka dawa zisisambazwe!?
 
Back
Top Bottom