Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,701
- 107,146
wasione hii plz
View attachment 3091199
Tena umeachana na mambo ya kukana kwamba Kenya hatutengenezi body za mabasi?😂😂🤣jiulize kwann nchi zote zilizoendelea zinatumia chinnese bus 😁😁😁😁 au wao hawana akili kuliko nyinyi??
Mbona hupendangi kutumia akili wewe jamaa wa chanjo? Sewing cloth and building a bus are similar in a manner that both involve cutting and joining together pieces to make a complete bus or cloth.Unaona ulivyo pimbi!?
Unafananisha uundaji magari na ushonaji nguo tena.
Hivi unajielewa buddah!
Wakenya wote naomba mlie pole pole wakati mnapitia hii video.
Nicxie naomba uniambie ni nchi gani iliyoendelea kati ya Kenya na Tanzania.
Teargas aka mnuka nnyaa naomba uniambie SGR ipi ni bora kati ya diesel au electric? Je, jongoo wenu anakimbia kuliko huyu nyoka?
NairobiWalker aka kiberawalker naomba uniambie, je, hapa kingereza kina nafasi?
View: https://vm.tiktok.com/ZMhJ146wY/ This post is shared via TikTok Lite. Download TikTok Lite to enjoy more posts: TikTok Lite - Save Data - Apps on Google Play
Nikisema huna akili nitakosea!??Mbona hupendangi kutumia akili wewe jamaa wa chanjo? Sewing cloth and building a bus are similar in a manner that both involve cutting and joining together pieces to make a complete bus or cloth.
Umeanza kuropoka tena kijana!??Kenya SGR trains = 200km/h max speed
Tanzanian SGR locomotives = 180km/h max speed
Tanzanian EMU =160km/h max speed
🤣 🤣 🤣 Tembea kijana. Acha kujifungia kibera
Shida yako huwa unaingilia mjadala bila kujua the origin of the discussion. ichoboy01 alisema Kenya hatutengenezi bus bodies because all the materials we use have been imported ndio nikampatia example of a tailor.Nikisema huna akili nitakosea!??
Fananisha ubunifu unaotumika katika hayo maeneo mawili unafanana!?
Pia fananisha upatikanaji wa malighafi ya maeneo hayo mawili unafanana!?
Malighafi za ushoni asilimia kubwa ni za shambani ambazo uchakatwaji wake ni wa bei nafuu na local person anaweza akachakata.
Fananisha na malighafi za uundaji wa gari.
Halafu fananisha hizo bidhaa mbili zikiundwa specifications zake zikoje kila upande.
That’s a fact that you can’t dispute. Whether ucheke ama ulie ukweli utabaki kwamba Kenyan SGR trains have higher maximum speed than your SGR trains.😂😂🤣😂Umeanza kuropoka tena kijana!??
alaf ajabu 470km inatumia 6 to 7 good hoursThat’s a fact that you can’t dispute. Whether ucheke ama ulie ukweli utabaki kwamba Kenyan SGR trains have higher maximum speed than your SGR trains.😂😂🤣😂
Kosugi achanga kuropokwa malaya hii. Ndio hii penye discussion and comparison of bus building and cloth sewing ilitoka.Ila wakenya kweli ni ng'ombe, SASA ww unashangilia nn ikiwa munafanya assemble while everything muna import, au kitu gani munaunda wenyewe kama ni body sheet munaagiza, chassis munaagiza, bolts and nuts munaagiza ,engines munaagiza, dashboard munaagiza, hebu nitajie kitu gani ambacho hakiagizwi kutoka nje 🤣🤣🤣🤣
So ukiwa na gari inaezaenda 260km/h and you decide to ride it at 20km/h does that mean haiezifikisha 260km/h? Mbona unakuanga fala hivi lakini. Did your brain stop reasoning?alaf ajabu 470km inatumia 6 to 7 good hours
Vipi issue ya kutawdha? Bado unatumia karatasi kujisafisha? 🤣🤣🤣🤣So ukiwa na gari inaezaenda 260km/h and you decide to ride it at 20km/h does that mean haiezifikisha 260km/h? Mbona unakuanga fala hivi lakini. Did your brain stop reasoning?
Narudia tena mifano haifanani usitafute kichaka cha kujificha hapo.Kosugi achanga kuropokwa malaya hii. Ndio hii penye discussion and comparison of bus building and cloth sewing ilitoka.
No wonder NairobiWalker huwa anakudharau😂
Tunajua unaropoka na tushakuzoea kuropoka.That’s a fact that you can’t dispute. Whether ucheke ama ulie ukweli utabaki kwamba Kenyan SGR trains have higher maximum speed than your SGR trains.😂😂🤣😂