Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,628
Duh ila huyu bimkubwa kakaza!!
Silaha aliyobeba bi mkubwa ndio hiyo hqpo
Duh ila huyu bimkubwa kakaza!!
Bado gold yetu from northwestern Tanzania, mahitaji ya kemikali kwenda Congo migodini na Congo minerals.Nani kakudanganya hakuna mzigo wa kutoka hionterland kwenda Dar port, mteja wa kwanza wa uhakika huyo hapo Burundi na madini yake ya nickel kwa uhakika tu sio pungufu ya 3million tonne kwa mwaka bado kuna kabanga nickel, cobalt iliyopo msongati burundi
soma kwa hapo chini
In January 2022, the governments of Tanzania and Burundi signed a Memorandum of Understanding, in which they agreed to the construction of a standard gauge (1435 mm or 4 ft 81⁄2 in) railway line between the two countries.[1] Initially, costs were estimated at US$900 million. The planned railway line is an extension of Tanzania's Standard Gauge Railway and is aimed at reducing transportation cost and increasing regional economic integration.
Construction of the railway is also aimed at intensifying the exploitation of the world's tenth largest nickel deposits located at Musongati,[2] as well as enabling exploitation of Burundi's lithium and cobalt deposits. The East African Community as well as the African Union have consequently named the railway as one of their top priorities.[3]
Tanzania's finance ministry expects more than a million yearly tonnes of cargo to be transported between the two countries, and more than 3 million tonnes of minerals each year to be ferried from Burundi to Tanzania.[4] It would be only the second transnational electrified railway on the African continent. The timeline for the completion of the project is five years.[5]
In August 2022, the Tanzanian government invited bids for the design and construction of the Uvinza-Gitega (Tanzania-Burundi) Standard Gauge line. The Tanzania Railway Corporation is managing procurement for the governments of both countries, though Burundi's ARTF will be involved in supervision of the construction. Bidding closed on November 15, 2023.[6] In March 2024, the governments of Tanzania and Burundi commenced formal talks on the technical aspects of construction.[7]
The line will span approximately 367 kilometres, featuring 282 kilometres of main railway line and 85 kilometres of siding and passing loops.[8] It will be built based on AREMA and UIC standards.[9] The line will allow for speeds of up to 160 kilometres per hour.[3]
sasa kwa hesabu za haraka haraka tu
3,000,000tonnes/40cargo wagon=75000
75000/360days=208
kwa hiyo kwa siku 360 tutahitaji kusafirisha mabehewa 208 ya nickel tu kutoka burundi kuja tanzania sawa na tonne 8,333.3
hapo hatujaweka mzigo wa kutoka Rwanda au congo hatujaweka mzigo Kabanga nickel minning.
KWA HIYO TUNAOMBA HESABU ZA MZIGO WA KENYA TOKA HINTERLAND
Hawa nyang’au huwa wanajifanya wajanja kumbe ni mabwege wa kutupwa😎😎Hata muandamane vipi ndio imeshauzwa hivyo 🤣🤣🤣
![]()
Adani sets up new Kenyan company to manage airports [Shareholding details]
Adani Enterprises Limited (AEL) has registered a new subsidiary, Airports Infrastructure PLC (AIP), in Kenya.www.pulselive.co.ke
samahani bos kwanza nilete hiiHuyu anaivunjia heshima terminal yetu. Magufuli terminal siyo ya kulinganisha na vitu vichafu hivi labda atafute terminal nyingine huko liwale nidio alinganishe na huo upuuzi wa Kanairo.
Adani Enterprises has established a new subsidiary in Kenya called Airports Infrastructure PLC (AIP):—AIP's primary purpose is to take over, operate, maintain, develop, design, construct, upgrade, modernize, and manage airports within Kenya.
—AIP was officially incorporated on August 30, 2024, in Kenya and is a wholly-owned subsidiary of Global Airports Operator, itself a step-down subsidiary based in Abu Dhabi
—The company has an issued share capital of KES 675,000,000, divided into 6750 equity shares, each valued at KES 100,000.
—Global Airports Operator L.L.C. (GAO), the parent company, will hold 100% of the share capital of Airports Infrastructure PLC, ensuring full control over the entity.
—The incorporation of AIP is conducted in compliance with the Kenya Companies Act, 2015, under which it is legally registered.
—Business operations for AIP have not yet commenced, indicating that the company is still in the initial stages of establishment.
View: https://x.com/MwangoCapital/status/1830489193421689323
The best 007 👆😂😂watasema na sisi tumewapa bandari ngoja tuwasubiri watakavyokurupuka
It had to be fake newsFake news🚮
Most famous brand alafu halina kiwanda wala retail 😃Nyie ni underdog bado mbele ya Tz. Hii hapa is the most famous clothing brand in Africa. African boy Brand. 👇🏾View attachment 3084910View attachment 3084911View attachment 3084912View attachment 3084913View attachment 3084914halafu wewe upo hapa kutupigia kelele. 😂😂😂 too late Bro.. Tz inakimbia kwa kasi ya rocket.
IPO lakini hoi taaban Yani kama ni jini katoka basi mganga ni mahututi🤣🤣🤣🤣🤣🤣BATA bado ipo? Nilivaa sana wakati niko Primary School over 30yrs ago
SASA wale GenZ KAZI Yao ya kuandamana ilikua nini??🤣🤣🤣🤣 Au ni njaa tuHata muandamane vipi ndio imeshauzwa hivyo 🤣🤣🤣
![]()
Adani sets up new Kenyan company to manage airports [Shareholding details]
Adani Enterprises Limited (AEL) has registered a new subsidiary, Airports Infrastructure PLC (AIP), in Kenya.www.pulselive.co.ke
Nawe pia haujafungua link usome article uelewe kilichoandikwa?80% ndefu sanaaaa😂
View: https://web.facebook.com/watch/?v=1010862010140755
Hivi kuna investement yoyote ambayo ishaanza Konza