My friend. Kama unataka kuja na point unatakiwa ujiandae. Wewe umesema uchumi wa Tanzania umeshikiliwa na wakenya. Nimekuambia uweke proof hapa. Umekimbia. Sasa nikakueleza hao wakenya ni merchants hapa Tanzania, hawana madhara yoyote na uchumi wetu. Nimekupa mambo hayo manne:-
1. Mining
2. Tourism
3. Agriculture
4. Transportation
Nieleze ni makampuni yapi ya kenya yapo kwenye hizo categores.
Naweza kukupa mfano mdogo tu kwenye Agriculture (MeTL) Company la kitanzania ndio lipo kwenye sector hii ya kilimo kwa upana zaidi. Hata kwenye uchuuzi Company ya bakhresa imejikita. Kwenye Agricultural and Livestock processing ni companies za kitanzania zipo eg:-
ASAS
ASAS Group Tanzania
Tanga Fresh
Home