Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

RRONDO unaona ninapokwambia Kuna wajinga wengi wabongo hili jukwaa ila unawakubali? Sasa huyu naye unamchukuliaje?
Screenshot_20240727-171428.png
 
What Watchman aka The best 007 need. This is Tanzanian SGR track watu wakipita juu yake😂😂🤣👇👇

View attachment 3053501


What watchman doesn’t need. A bridge over SGR tracks😂😂🤣🤣👇👇👇

View attachment 3053511
We punga wacha excuses za kipumbavu, ilitakiwa mjenge bridge hapo na sio kutesa abiria, yani mtu atoke chini apande juu alafu ashuke tena chini, ni ufala huo, hii hapa Dar station 👇👇
Screenshot_20240727-172753~2.png
 
So ukiwa na gari inaezaenda a speed of 260km/h but wewe kama mwenyeji umeamua kuiendesha at 60km/h so inamaanisha highest speed ya hiyo gari sio 260km/h? Ebu nikumbushe level yako ya elimu😂😂🤣
Weka video train yoyote ya Kenya ikitembea more than 60km/hr ili niondoke jf.
 
Out of those 7 people at the Olympic only 2 people ndi ni wachezaji. Watanzania si mngebaki tu nyumbani basi😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3053516
Mbio za km 10,000 ndiyo za kujifia? Ukitaka kujua olimpiki sio michuano mikubwa kisoka hakuna nchi yoyote kubwa iliyopelekea wachezaji wake first eleven huko, upuuzi mtupu na ndiyo maana bado ss ni footballing nation, hayo mambio mbio ya km50,000 tumewaachia nyinyi wamasai 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ebu angalia hiyo environment vile imechoka tunaambiwa kama ulaya. 🤣 🤣 🤣
Wapi pamechoka hebu nioneshe, alafu huyu ndiyo anatafuta huruma kutoka kwa RRONDO wakati yeye ndio kiongozi wa kucoment, haya nioneshe environment iliyochoka hapa kama sio wivu 👇👇
1722066570154.png
1721903132130.png
Screenshot_20240725-050107~2.png

RRONDO naomba umuulize huyu Mal.aya atuoneshe environment iliyochoka kabla ya kuja kulia lia kwako kwamba anaonewa.
 
Stations za Tanzanian SGR can’t accommodate two trains at a go Kama za Kenya.

Kenya
View attachment 3052963

Uchawiland only have single tracks😂😂🤣👇👇

View attachment 3052967
Unajua wakati mwingine ninyi wakenya mnakuwa kama mataahira, hivi kabla ya kupost huwa unajiuliza kweli? Sisi watanzania tumeshaonesha kwamba tunaakili kubwa kuliko ninyi wakenya, hivi ushajiuliza kwnn hili eneo ni kubwa na lipo cleared like this? 👇👇
Screenshot_20240727-174746~2.jpg

Ni kwamba hapo inawekwa reli. Lakini sio tu treni mbili at a go, bali zitakuwa tatu kwa wakati mmoja, nyingine itapita nje, hii hapa 👇 👇
Screenshot_20240727-175156~2.png

Sisi tuna akili kubwa kuliko ninyi wakenya.
 
Watu wamezoea kuangaliana kama punda wanataka ati Kenyan SGR pia ikuwe kama yao😂😂🤣
Na haiwezekani mana mlishakosea, ili SGR yenu iwe kama ya Tanzania inatakiwa mfumue yote muanze upya, kumbuka SGR yenu haiko welded ni jointed rail so haiko comfortable hata uweke train gn lazima ikifika speed ya 50km/hr itaanguka. Poleni sana wakenya.
 
Everything in this project has a problem😂🤣🤣🤣.

In Nairobi ukishuka unakutana na clear compound. Clean and neat with no unnecessary cars except for official use.

View attachment 3053171

In Dodoma ukishuka unakutana na dumpsite like this😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3053172
Utaongea sana mzee, pole kwa uchungu ulionao 🤣🤣
 
Back
Top Bottom