Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nimemtupa ignore list huyo mbuzi. Kwasababu anaandika upuuzi ambao inabidi ufumue fuvu lake umuweke sawa. Sasa kuokoa muda wangu ni heri nisione pumba zake.
Unaweza block teargass yet unawaskiza wapuuzi kama Mgonjwa matapiko. Sambaboy, Fake bondi n.k? Wacha unafiki wee.
 
Mnasumbuka na mpumbavu Teargas
Ukifukuza kichaa utaanza kuonekana na wewe kichaa 7 days mnaongelea issue hiyo hiyo tu.

How can you compare Fossil Train with Electric?

This is stupidity. Ego inawaua wakenya.

But hii battle ime expose vitu vingi vya hovyo kenya 😀 😀 😀
Ajabu sana. Tena Shades, meza za kulia, watu kushuka? As if wanaishi tren ni apartments?.
 
angalia floor ya platform mwendo wa mabaka Mchina aliiba cement!
Uko sure utawezana?😂😂🤣 Ok let’t look at the platform floor tuone ni gani imeparara😂😂🤣

Tanzania. Small dirty and disorganized.😂😂🤣🤣👇👇
1722075843009.jpeg


Kenya. Neat, clean and large.

1722075942971.jpeg

Poles zinabeba canopy ya mambathi
Now let’s look at the poles.

Za Tanzania ni poles za mbao supporting mabati roofs😂😂
1722076092304.jpeg


Vs Kenya.
1722076161903.jpeg
 
Now that mtu ameongelea floor. Let’s look at the interior part of Tanzanian stations😂🤣🤣.

Cheki floor vile imeparara🤣🤣👇👇👇

IMG_0408.jpeg
 
Now let’s compare the waiting lounge area.


Kenya. Look at the cleanliness, look at the organization, look how the floor is shinning and clean.

View attachment 3053614


Sasa angalia soko😂😂🤣🤣👇👇

View attachment 3053616
1 day operation compared to 7 years operation! BTW our SGR stations r neatier than urs! It is stupid to compare a ticket booking area to waiting area!

SGR Tanzania’s waiting lounge 👇🏿👇🏿
IMG_0360.png


I see sophisticated digital boards at SGR Tanzania vs analogy boards at SGR Kenya!


View: https://youtu.be/xQLoNgUZtcs?si=OjBsZcarcQvpgy1j


View: https://youtu.be/NGJxENcP_aA?si=jGWwmYOuDCxNQOEg
 
Back
Top Bottom