Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unachukua picha za during construction kujifurahisha nazo hata uzio hajaweka bado😅😅
Hizi picha za hii mwezi. 😂😂😂👇👇👇

1721721753872.jpeg

1721721789312.jpeg

1721721815455.jpeg
 
Let’s Compare boarding platforms.

Za Kenya zinatoshana na urefu wa reli and passenger can’t be rained on during onboarding or off boarding.

1721722040765.jpeg


Za wachawi sasa ni Mwendo wa kunyeshewa from start to finish😂😂
 
Ndio ni bado ujenzi WA underpass unaendelea kuna underpass karibu 5 ndio ziko kwenye final touches sio kwamba ujenzi umeisha asilimia 100 kabisa 😅😅😅😅 Sisi ndio tuko huku tunaona
Hata mimi Naona ujenzi ukiendelea. 😂😂😂👇👇

Hile ajali itatokea hapa mungu pekee ndio anajua. Yani the tack is no fenced yet wanataka kushindana na Kenya😂😂😂🤣🤣.
1721722484096.jpeg
 
Hata mimi Naona ujenzi ukiendelea. 😂😂😂👇👇

Hile ajali itatokea hapa mungu pekee ndio anajua. Yani the tack is no fenced yet wanataka kushindana na Kenya😂😂😂🤣🤣.
View attachment 3049778
Hebu nioneshe fence iko wapi hapo kama kweli ujenzi imekamilika??😅😅😅😅 Nishakwambia kuna over 5 under pass ziko kwenye final touches unataka kubishana na mm
 
Hebu nioneshe fence iko wapi hapo kama kweli ujenzi imekamilika??😅😅😅😅 Nishakwambia kuna over 5 under pass ziko kwenye final touches unataka kubishana na mm
Hamna fence😂🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom