Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,944
- 103,824
Pretoria To Dar es Salaam
View: https://youtu.be/YHwW1Yc8mCE?si=VjaB8wIWHvHsIfXp
![]()
Riding the Historic Rovos Rail Across Untrammeled Corners of Southern Africa
Getting up close with the region’s majestic scenery—and the big beasts that call it home.www.cntraveler.com
![]()
![]()
Olalaaa hebu ngoja nikae ninywe soda😅😅😅
View: https://x.com/TheStarKenya/status/1815580092464017889?t=jzV1QHfS3jx5mZCOc4VyqA&s=19
Ndio maana nasema hawa jamaa kwenye miundombinu muhimu kwetu bado sanaa.kundustan mgr yao ni takataka kabisa maana hiyo diesel sgr yao hata mgr yetu iko vizuri
kuteleza na si kutereza!Nadhani Kenya hawakutambua lengo kuu la SGR.
SGR ni kwa ajili ya ufanisi wa mwendo(speed ).
Ndio maana hata ilivyoundwa ni kwaajili ya kuruhusu chombo kutereza kwa ufanisi wa haraka na uhakiki wa usalama zaidi.
Sasa hawa jamaa sijaelewa SGR waliijenga kwa dhumuni lipi!?
Na walivyo wapumbavu badala waongeze mwendo wa treni wao wanaleta mabehewa ya anasa halafu bei kubwa,yatamnufaisha vipi mwananchi wa kawaida!?
Hapo hapo unaambiwa kuna ndege kuelekea njia hiyo hiyo tiketi bei rahisi.
AISEE hawa jamaa ni wajinga.
Unafahamu kuwa hii picha ni stesheni ya Tazara Dar es salaam, Tanzania?Most luxurious train in Africa, rovos, speed maximum ni 60kph. Inatembea kutoka Pretoria mpaka Cape Town. Cheapest tickets ni R37500View attachment 3049176
Sidhani kama itakua sawa, sehemu za kupumzikia dar ziko nyingi Hasa fukwe, wajenge Coco beach na oyesterbay pale na pale njia ya agakhan inatosha kabisaHiv hiyo botanical gardern haiwezi kuboreshwa, wakaweka free WIFI, sehemu za kupumzika, hata maeneo ya kupiga picha?
Huwez kuongeza mwendo wa train kwenye bolt jointed rail mzee utaua watu 😅😅😅😅Nadhani Kenya hawakutambua lengo kuu la SGR.
SGR ni kwa ajili ya ufanisi wa mwendo(speed ).
Ndio maana hata ilivyoundwa ni kwaajili ya kuruhusu chombo kutereza kwa ufanisi wa haraka na uhakiki wa usalama zaidi.
Sasa hawa jamaa sijaelewa SGR waliijenga kwa dhumuni lipi!?
Na walivyo wapumbavu badala waongeze mwendo wa treni wao wanaleta mabehewa ya anasa halafu bei kubwa,yatamnufaisha vipi mwananchi wa kawaida!?
Hapo hapo unaambiwa kuna ndege kuelekea njia hiyo hiyo tiketi bei rahisi.
AISEE hawa jamaa ni wajinga.
Huyu James Kimathi wanamtambua sana hawa majamaa. Na bado watakuambia education yao imeshinda yetu. 🤣 🤣Ebu waulize Mbona wasingejenga Hilo gorofa Tanzania, Uganda, Zambia ama Burundi😂😂.
They know very well that Kenyan market is capable of filling that tower even before construction iishe and the tower won’t remain vacant like zile tatu wako nazo Dar is Slum.
Also remind them that Tanzanian building to be constructed in Upperhill is designed by James Kimathi 😂😂
Hamna uwezo wa kumtoa Ruto matokeo yake mnatiana ufukara zaidi tu huku Ruto haendi kokote
View: https://x.com/city_digest/status/1815431617910829086?t=JnndvrddC3z7BuO5q6yGhw&s=19