Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umesikia hii treni ni kama ma3 unategea barabarani ili ije.....kiweni na akili.....hii kitu ni scheduled. Ila siwezi walaumu. Nawaonea huruma tu.
Kwahivyo schedule itaendana na weather, wakati wa mvua abiria wanasubiri ipuse ndio wapande/washuke😬
 
Kama ulaya vile 🤣🤣🤣
Ulaya abiria hawanyeshewi😂😂.

Ulaya hakuna mambo kama haya 😂🤣👇

1721655944617.jpeg

1721655965020.jpeg

1721655983535.jpeg
 
Back
Top Bottom