Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hiko kituo kidogo ulitaka kijengwaje?
Kwani ya Mtito Andei imejengwa aje?😂😂😂

Build something appealing, not those toilets mmejenga Soga na Pugu😂😂
 
Treni yenu imeandikwa max speed.
Hiyo imeandikwa speed inayotakiwa kwenda mwisho ni 80kph
Kama maximum speed ya trains zetu ni 100km/h then how come ilifika 120km/h hapa? Wewe unakuanga tu kondoo😂😂😂

1721656825922.png
 
Kwani ya Mtito Andei imejengwa aje?😂😂😂

Build something appealing, not those toilets mmejenga Soga na Pugu😂😂
Sisi tunajenga kiuhitaji.
Jengo kubwa station ndogo inayo accomodate abiria wachache ya nini!?
Ndio maana mradi wenu ni white elephant pesa mingi hakuna la maana lililoakisiwa.
 
Hizo alama nyekundu zinaashiria nini!?
Mpaka leo hukunijibu hili swali
So umeshindwa kujibu how the train reached 120km/h when it’s maximum speed is 80km/h?😂😂😂


Unaezalia na hii pia😂😂👇👇

1721657185978.jpeg
 
Sisi tunajenga kiuhitaji.
Jengo kubwa station ndogo inayo accomodate abiria wachache ya nini!?
Ndio maana mradi wenu ni white elephant pesa mingi hakuna la maana lililoakisiwa.
Hata hii pia mlijenga kulinga na mahitaji, sindio?😂😂👇👇

1721657288170.jpeg
 
Endelea kuumia. Hii hapa ilikuwa 120km/h na haikuanguka😂😂😂.

What you are posting is MGR trains.

View attachment 3049064

Kama maximum speed ya trains zetu ni 100km/h then how come ilifika 120km/h hapa? Wewe unakuanga tu kondoo😂😂😂

View attachment 3049074
Tuambia kumbe hii treni inatumia masaa mangapi kufika mombasa? 😂😂😂 usihangaike na hizo picha.. leta ratiba ya hii treni.
 
Back
Top Bottom