Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2lanes pekee .....wacha aibu ndogo ndogo
Mwanza
IMG_1385.JPG
 
Niletee oficial link inayosema nai gbp is 40 alaf niletee link inayosema dar is 9, na usipoleta basi wewe unagovi😀😀😀😀
It took you ages to reply huh? Ina maana umeshinda Google ukitafuta hizo data na sasa umerudi na ushujaa baada ya kukosa such information.

You guys have a certain inferiority complex and it won't be solved through competition with your bigger brother. Kunywa kopo la maji ukitafakari hayo.
 
Likoni hio ni ndoto ndugu plan yake ilikuwepo 10 yrs back lakini mpaka leo hakuna ishara yoyote ya ujenzi mutaendelea kusaga meno😀😀😀

Surender bridge dar 7.1 km january ujenz unaanza
Na site preparation tayari
Hata za Bagamoyo zilikuwa tayari...Anything ya huko Danganyika Mimi huamini nikiona na macho otherwise hizo zingine ni tuta tuta .
 
It took you ages to reply huh? Ina maana umeshinda Google ukitafuta hizo data na sasa umerudi na ushujaa baada ya kukosa such information.

You guys have a certain inferiority complex and it won't be solved through competition with your bigger brother. Kunywa kopo la maji ukitafakari hayo.
Kama huna sema sina usizungushe mada😀😀😀
Unafkiri 40 ni kama kula ugali
 
Hata za Bagamoyo zilikuwa tayari...Anything ya huko Danganyika Mimi huamini nikiona na macho otherwise hizo zingine ni tuta tuta .
Likoni itabaki a dream 😀😀😀😀 sio plan ya jana wala ya juzi na haina dalili yoyote, labda mtuoneshe renders
 
Sindano imekuingia hadi kwa mfupa ndugu utapona tu.
Hakuna project kenya inashtua ndugu, na kuna zingine zishakufa😀😀😀 konza na tatu zilishajifia zamani, montave na pinnacle bado ziko kwenye karatasi,😛😛
 
Back
Top Bottom