Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Visited my former school. St Lukes Kimilili Bungoma
IMG20240618115018.jpg
IMG20240618113250.jpg
IMG20240618113059.jpg
 
Achana na hako ka 2metre Uptown. Vuka Tom Mboya street na moi avenue nenda Downtown, river roads kule mpaka gikomba ni aibu Tupu.
Njoo huku Kilimani majengo mazuri ila barabara sasa, sewage kama zote hapo sijaongelea upper hill na westlands zenye miwaya ya stima na no sidewalk kila mahali.

Hapo hatuendi kwenye slums

Eastleigh ndo sehemu chafu zaidi East Africa. Hata nguruwe anapaogopa


Sehemu safi tu Nairobi ni Uptown pele yake tena kule karibu na bunge, KICC na agha khan walk ukienda kule Railway station ni aibu tupu
Umemvua kich.u.pi chake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Tukiwaambia nyinyi ni kondoo hamsikii. Ona serikali yenu inavyofanya maamuzi ya kijinga na mmekaa tu. Anyway, naweza elewa since hapo Dar the few skyscrapers mmejenga bado hazina wateja. Labda serikali inatafuta mahali kuna biashara.
Sasa unataka watu walalamike kama mnavyofanya nyie. 😀 😀 Just imagine since independence nchi yenu inaongozwa makabila mawili tu. Is Kenya Monarch State? Mbona hamuandamani kuhusu hilo? All land owned by Kenyatta family mbona hamfanyi chochote? Tukisema education system yenu ni mbovu tutakosea?
 
Sasa unataka watu walalamike kama mnavyofanya nyie. 😀 😀 Just imagine since independence nchi yenu inaongozwa makabila mawili tu. Is Kenya Monarch State? Mbona hamuandamani kuhusu hilo? All land owned by Kenyatta family mbona hamfanyi chochote? Tukisema education system yenu ni mbovu tutakosea?
Ili kuwapumbaza ikikaribia uchaguzi wanaibua chama kipya cha siasa yaani kifungashio kipya lakini product ni ile ile. 😂😂😂
 
Achana na hako ka 2metre Uptown. Vuka Tom Mboya street na moi avenue nenda Downtown, river roads kule mpaka gikomba ni aibu Tupu.
Njoo huku Kilimani majengo mazuri ila barabara sasa, sewage kama zote hapo sijaongelea upper hill na westlands zenye miwaya ya stima na no sidewalk kila mahali.

Hapo hatuendi kwenye slums

Eastleigh ndo sehemu chafu zaidi East Africa. Hata nguruwe anapaogopa


Sehemu safi tu Nairobi ni Uptown pele yake tena kule karibu na bunge, KICC na agha khan walk ukienda kule Railway station ni aibu tupu
Nionyeshe Estate moja tu hapo Dar yenye barabara nzuri kuliko Kilimani.


View: https://www.youtube.com/watch?v=pO3IIcC6xAE
 
Washaanza kuiba, hiyo nyumba imejengwa na mtz, huoni style yake? Japo imekaa kijuakali kwa sababu ya mmiliki kutokuwa na pesa ya kutosha ya finishing.
🤣 🤣 🤣 🤣 Ona huyu.
Tangu lini Bongolala wakatumia bushstone? Nionyeshe nyumba kama hizo bongolala.
This is the signature Kenya archicture. Vitenge architecture yenu hukaa hivi na hapa nimepost nyumba ya upper middle class. Za maskini ni vicheko. 🤣🤣🤣

f358f4061eebde895e384d389aa987c1b41ac034.jpeg
 
Back
Top Bottom