NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,395
- 17,975
Wacha nitaitafuta nipost.Ebu post tena hiyo video, ni kama ilinipitašš
Wacha nitaitafuta nipost.Ebu post tena hiyo video, ni kama ilinipitašš
Kweli kabisa, huyu jamaa namfatilia toka akiwa Egypt, amefika Kunyaland wakunya wamemshobokea mno kwenye comments wakawa wanajipa umuhimu kwamba kino kapenda sana Kunyaland kuliko nchi yoyote mara akitoka Kunyaland huko kwengine ni umasikini mtupu hata kuna kenge 1 humu ilisema anatamani aingie Tanzania aanike umasikini wa Tanzania šš lakini cha kushangaza watu kwenye hii video ya Tanzania wanaisifia Tanzania sanaUnajua mtu aliyeshindwa kila kitu anatafuta namna ya kupata happiness. Wakenya wameshagundua kuwa Tanzania inawazidi kwa kila kitu. So wanatafuta virtual happiness.
Hii ndio walikuwa wanalinganisha na Kisumu, hii hata Moyale inaipiga 10-0.šššLive bila chenga kutoka kigoma, asante sana Kino yves š š š View attachment 3014966View attachment 3014967View attachment 3014969View attachment 3014970
Ikiwa 1600km from Dar haiko Tanzania ama?šKg km 1600 kutoka Dar
Huo mchele kitumbo toka Korea umeshafika? š¬Wali umeshikana Kama ugali š š
1600km from Dar iko more developed than 200km from Nairobi.Ikiwa 1600km from Dar haiko Tanzania ama?š
Tutajie majina ya hizo stadium zao tucheke kidogoUlinzi Stars ina Stadium
Police FC ina Stadium
Bandari FC ina Stadium.
Na watanzania hawajisifu na wanaona ni mambo ya kawaida sana. Hawa wakenya ulimbukeni unawasumbua.Kweli kabisa, huyu jamaa namfatilia toka akiwa Egypt, amefika Kunyaland wakunya wamemshobokea mno kwenye comments wakawa wanajipa umuhimu kwamba kino kapenda sana Kunyaland kuliko nchi yoyote mara akitoka Kunyaland huko kwengine ni umasikini mtupu hata kuna kenge 1 humu ilisema anatamani aingie Tanzania aanike umasikini wa Tanzania šš lakini cha kushangaza watu kwenye hii video ya Tanzania wanaisifia Tanzania sana
View attachment 3015112View attachment 3015113
First of all you need to get your facts right when making a point.1600km from Dar iko more developed than 200km from Nairobi.
So tell us hizo ni nuyumba zilijengwa vichakani, au ni vichaka vilivyoota kwenye vijumba.? š¤£š¤£š¤£ kuna watu wanaishi hapo..? Nini maana ya hiyo interchange hapo so far ?Kirinyaga County š°šŖš°šŖ
View attachment 3015085
Moyale alikosa umeme, chakula, guest house kama Choo na ufukara wa wakundustan kila meter, actually mlimuibia hata snacks mlivyo mafukara
View: https://youtu.be/c_xkmHDmQp0?si=vYY-WC_pcuRR5Evl
Wewe kweli mpumbavu mbishi, kwahiyo unalinganisha maendeleo ya mji miji miwili kwa kuonyesha kenyan main road vs Kigoma random street roads.? š¤£š¤£š¤£ halafu unamwambia mwenzako aseme ukweli..? Wewe ni mpumbavu wa kutupa .First of all you need to get your facts right when making a point.
1. Moyale is 777km from Nairobi, not 200.
2. Is development measured by distance from Dar and Nairobi? Kwa hivo Mombasa yafaa iwe less developed than Bagamoyo kisa Bagamoyo iko karibu na Dar na Mombasa iko mbali na Nairobi?
3. Nairobi ipo katikati mwa nchi, Dar iko pembeni mwa nchi kwa hivo Dar iko mbali na sehemu nyingi za Tz than Nairobi ilivyo na sehemu za Kenya.
Alafu mbona mimi sioni hiyo development unayoongelea? Tazama hizi picha unieleze ni wapi kumeendelea. Kumbuka Moyale ipo Jangwani mahali ambapo hapazalishwi chochote meanwhile Kigoma imezungukwa na mashamba zenye rotuba na vivutio vya utalii pia ipo kando ya ziwa lililobeba 60% of all the freshwater in Africa.
Kigoma
![]()
![]()
Moyale
View attachment 3015146View attachment 3015147View attachment 3015148
Nilisema mimi ššš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£Haya masenge Burundi anakaa hapo juu š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£š¤£
View attachment 3014920
Alooo 𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠š¤£Kirinyaga County š°šŖš°šŖ
View attachment 3015085
mwaiofhawaii Nilikwambia wewe unaangalia sana movies, umeeona ulivyokua unajichocha baada ya hili group lenu kupangwa.? š¤£š¤£š¤£Nilisema mimi ššš¤£š¤£š¤£š¤£š¤£View attachment 3015153
We kweli kima, umechagua sehemu ambazo zinakupa faraja ili upingane na huyo mzungu au sio, haya tufanye moyale iko mbele ya Kigoma, happy now 𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠š¤£First of all you need to get your facts right when making a point.
1. Moyale is 777km from Nairobi, not 200.
2. Is development measured by distance from Dar and Nairobi? Kwa hivo Mombasa yafaa iwe less developed than Bagamoyo kisa Bagamoyo iko karibu na Dar na Mombasa iko mbali na Nairobi?
3. Nairobi ipo katikati mwa nchi, Dar iko pembeni mwa nchi kwa hivo Dar iko mbali na sehemu nyingi za Tz than Nairobi ilivyo na sehemu za Kenya.
Alafu mbona mimi sioni hiyo development unayoongelea? Tazama hizi picha unieleze ni wapi kumeendelea. Kumbuka Moyale ipo Jangwani mahali ambapo hapazalishwi chochote meanwhile Kigoma imezungukwa na mashamba zenye rotuba na vivutio vya utalii pia ipo kando ya ziwa lililobeba 60% of all the freshwater in Africa.
Kigoma
![]()
![]()
Moyale
View attachment 3015146View attachment 3015147View attachment 3015148
Huyo jamaa ni mpumbavu mbishi, anataka apingane na mzungu tena kwa vitu vinavyoonekana wazi. š¤£š¤£š¤£ yeye kaona Post main road ya hiyo maypole kulinganisha na random street road in dodoma.We kweli kima, umechagua sehemu ambazo zinakupa faraja ili upingane na huyo mzungu au sio, haya tufanye moyale iko mbele ya Kigoma, happy now 𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠𤣠š¤£