Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You are missing the point … it’s about who got the best deal out of the trip … Same way you posted here bragging about film deals yet Ruto got a digital academy to enhance production of those films…. You got the appetizer, we got the main course meal..🤣🤣🤣
Mzee kama mmepewa academy sisi tumepewa university
 
Mombasa
1000041729.jpg
1000041736.jpg
1000041722.jpg
1000041737.jpg
 
Mbeya hua kijiji tu. 🤣 🤣 🤣

Image
Mbeya ni tofauti sana na Mikoa au Miji mingine.

Kila Wilaya ya Mkoa wa Mbeya Iko liveable tofauti na Mikoa mingine ambapo bila mjini huko kwingine ni kama uko malisho ya ngamia ,so maendeleo yamesambaa badala ya kusongamana Mjini tuu.


Ukienda Wilaya zingine mfano Kyela Kuna kokoa,mpunga,fishery na Utalii lake Nyasa vinamwaga pesa .

Ukienda Rungwe na Busokelo ni chai,ndizi na parachichi zinamwaga pesa.

Ukienda Mbarali Kuna Mpunga,Utalii Ruaha and Kitulo NPs na Madini

Mwisho wa siku unapata taswira ya Mapato yenye uwiano hjust for local authorities,hivyo hivyo kwenye maendeleo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7izP36NS-h/?igsh=c2s4bmlmbzRkY2pu

My Take:Huwezi Kuta taswira hii Mwanza,Dodoma,Arusha au Tanga maana huko Maendeleo yapo Mjini tuu.

Pili hayo ni Mapato ya Local Authorities tuu na sio taasisi zingine mfano TRA nk.Hii hapa Tume ya Madini over 34 bln collected Chunya pekee kutoka kwenye transactions za over 400 bln👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C790YhJNeqP/?igsh=YjM0MndkaWVtMmFp
 
Hata usihangaike nae, huu ndio mji uliombali kutoka Nairobi kuliko mji wowote unapakana na Ethiopia lakini angalia hauna umeme wala chakula upo hovyo na kila raia anaonekana fukara wa kutupwa


View: https://youtu.be/c_xkmHDmQp0?si=lR2m5x7d_MD9ecVi

Halafu angalia mji ulio mbali zaidi na Dar Kigoma ulivyo mzuri, umeme kila kona huko vijijini, chakula cha kumwaga, mzungu anashangaa mpaka kuna traffic lights 🚦 😁😁😁
Tukiyaambia Tanzania tumeyaacha mbali kwenye miundombinu na social welfare development hayataki


View: https://youtkunu.be/sIpzkACnoAw?si=x8d2DyJOq_trZ4uP


Hata usihangaike nae, huu ndio mji uliombali kutoka Nairobi kuliko mji wowote unapakana na Ethiopia lakini angalia hauna umeme wala chakula upo hovyo na kila raia anaonekana fukara wa kutupwa


View: https://youtu.be/c_xkmHDmQp0?si=lR2m5x7d_MD9ecVi

Halafu angalia mji ulio mbali zaidi na Dar Kigoma ulivyo mzuri, umeme kila kona huko vijijini, chakula cha kumwaga, mzungu anashangaa mpaka kuna traffic lights 🚦 😁😁😁
Tukiyaambia Tanzania tumeyaacha mbali kwenye miundombinu na social welfare development hayataki


View: https://youtu.be/sIpzkACnoAw?si=x8d2DyJOq_trZ4uP

Kuna sehemu mwishoni kasema Na kushangaa AC kwenye hotel ya kigoma. Anasema toka mji wa kampala hakupata kabisa AC kwenye hotel alizoishi.
Na kigoma iko over 1200km from Dar es Salaam
 
Mbeya ni tofauti sana na Mikoa au Miji mingine.

Kila Wilaya ya Mkoa wa Mbeya Iko liveable tofauti na Mikoa mingine ambapo bila mjini huko kwingine ni kama uko malisho ya ngamia ,so maendeleo yamesambaa badala ya kusongamana Mjini tuu.


Ukienda Wilaya zingine mfano Kyela Kuna kokoa,mpunga,fishery na Utalii lake Nyasa vinamwaga pesa .

Ukienda Rungwe na Busokelo ni chai,ndizi na parachichi zinamwaga pesa.

Ukienda Mbarali Kuna Mpunga,Utalii Ruaha and Kitulo NPs na Madini

Mwisho wa siku unapata taswira ya Mapato yenye uwiano hjust for local authorities,hivyo hivyo kwenye maendeleo 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7izP36NS-h/?igsh=c2s4bmlmbzRkY2pu

My Take:Huwezi Kuta taswira hii Mwanza,Dodoma,Arusha au Tanga maana huko Maendeleo yapo Mjini tuu.

Pili hayo ni Mapato ya Local Authorities tuu na sio taasisi zingine mfano TRA nk.Hii hapa Tume ya Madini over 34 bln collected Chunya pekee kutoka kwenye transactions za over 400 bln👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C790YhJNeqP/?igsh=YjM0MndkaWVtMmFp

Wacha kujitetea, kuna sehemu wana towns wilayani nzuri na organized kuliko Jiji la Mbeya! Pale ni aibu!
 
Kuna sehemu mwishoni kasema Na kushangaa AC kwenye hotel ya kigoma. Anasema toka mji wa kampala hakupata kabisa AC kwenye hotel alizoishi.
Na kigoma iko over 1200km from Dar es Salaam
Kauliza There is WIFI muhudumu kasema YES.
Jamaa nimemuona kwenye facial expression kuna na amani na furaha sana.
 
Kuna sehemu mwishoni kasema Na kushangaa AC kwenye hotel ya kigoma. Anasema toka mji wa kampala hakupata kabisa AC kwenye hotel alizoishi.
Na kigoma iko over 1200km from Dar es Salaam
Just imagine na Dar to Kigoma ni 1255km wakati naislum to moyale ni 777km, pia umeona kashangaa kuona kuna paved roads mpaka kwenye streets za back the main road tena zina taa kabisa, moyale tofauti na main trunk road hakuna hata tone la lami, na hapo bado barabara zote za Kigoma hazijakamilika.
 
Back
Top Bottom