100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,227
- 36,569
Unajisifu mna viwanda vingi vya ku assemble buses, kwanini hizo fedha msianze kutumia kufanya assembling za tractors mlime mpate chakula? Muwakope na wakulima?Sisi buses zetu tunajitengenezea bodies na bado tunajifanyia assembly. Nyinyi muna import CBU. Hamna ujuizi kwa vehicle production ndio maana hamna viwanda vingi vya kuunganisha au kufabricate magari kama Kenya. A bigger percentage of our commercial vehicles are produced locally, nyinyi bado munategemea imports.
Anzeni kufanya kilimo cha kisasa, nchi yenu ni jangwa, yani Kenya ukila wali na nyama ni anasa..
Bus haziwasaidii chochote, Chinese wamevamia hio fani.