Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is not a cheap bus. Ama ushaiona hii in Tanzania and Africa in general ?😂😂😂

Nyinyi mnauziwa buses fake na unapiga kelele hapa😂😂
Buses fake ni hizo mnazo fabricate hapo Kunyaland maana hazina quality ya kuwa bus.
 
Population ya Tanzania 2022 ilikua million 61 ina maana kwa mwaka mmoja na miezi kadhaa tumeongezeka million 7?
Ndio hivyo usishangae😅😅😅😅
Kadri munavyozidi kudandiana Kama mbuzi ndio idadi inapanda maradufu.
Na by 2100, mtakuwa mmefika 240m na GDP itakua 200bn
😅😅😅😅
 
Is this for real?… ati Lesotho!.. kudos to them..is it advisable to place money on Lesotho to win the group and qualify for the WC?.. that would be a huge payday…🤪
IMG_3739.jpeg
 
Is this for real?… ati Lesotho!.. kudos to them..is it advisable to place money on Lesotho to win the group and qualify for the WC?.. that would be a huge payday…🤪
View attachment 3011563
Ulisema mtaongoza group, Burundi tu inawatoa jasho
Screenshot_20240608-084132_Goal News.jpg

Naona leo Bongolalas wako kimya mambo ya soka… they are ignoring the 5-0 win by Harambee stars yesterday… meanwhile am watching Bongolala stars vs Morocco live… wanachapwa…. It’s half time…. As I said Kenya has a better chance to win the group but no way Bongo tops theirs… hio ni ya Morocco… and only the group winner qualifies for the World Cup… mezeni wembe vilaza!..🤣🤣🤣🤣
We still have time.. Ivory Coast 🇨🇮 is not the same powerhouse it used to be… just like Nigeria 🇳🇬…. But Morocco 🇲🇦 is playing their best football at the moment… so big difference
 
Kama hujui tofauti kati ya Isuzu chassis na scania chassis hata nikikuelezea hutaelewa kijana.
Najua and that’s why nimeuliza Ichoboy that question. Wewe nilikuuliza meaning ya bus ukashindwa😂😂😂
 
So, leo unakubali ichoboy ni mtz?
Wewe kijana umeosha sare zako za kazi? Umecharge torch? Umepanguza rungu? Bado huwa unapanga laini hili ulipwe mshahara ama? Na ulifungua bank account ama bado unaweka pesa chini ya godoro?
 
Back
Top Bottom