Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The latest fake Youtong bus which is still not available in Tz is Ksh14M. Hizo zenye mko nazo which mostly are refurbished are 9M.
View attachment 3011361
Hatuna bus kama hio alaf most of Chinese bus in Tanzania zinakua na terrius kwa nyuma 😅😅😅

Akili yako ww ni finyu huwez lazmisha nyeupe kua nyeusi 👇👇👇👇👇

20240607_200205.jpg
 
Endeleeni kishangilia vitu vya Uganda baadala ya kutengeneza yenu😂😂😂.

I can also see tukiinunua kwa duka😂😂🤣

View attachment 3011354
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
 
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
Hio ni kampuni ya kichina ilianza kwa fujo hapo muulize SASA hvi Nani ananunua hzo electric bus Kenya 😅😅😅😅😅
 
Hatuna bus kama hio alaf most of Chinese bus in Tanzania zinakua na terrius kwa nyuma 😅😅😅

Akili yako ww ni finyu huwez lazmisha nyeupe kua nyeusi 👇👇👇👇👇

View attachment 3011370
Basi kama hii hamna na hamtakuwa kuwa nayo. This is the latest release by Youtong and it’s only Ksh14M😂🤣

Hizo zenye mko nazo ni 9M.

Again do you know the work of Terrius axle in a bus? Terrius doesn’t determine the price of a bus, if you know it’s function then utaacha kujiaibisha hapa.
IMG_0265.png
 
Gets order nataka kuona mauzo ya 100 buses as u said 😅😅😅😅😅

Order nitofaut na mauzo, order inaeza tolewa na ikawa cancelled also 😅😅😅
Kama washapata order, mbona wasiuze?😂😂😂

Hueziuza kitu kama hakuna order. Imagine hadi deposit ishalipwa, delivery ndio inangojwa sasa😂😂🤣👇👇👇

IMG_0266.png
 
Basi kama hii hamna na hamtakuwa kuwa nayo. This is the latest release by Youtong and it’s only Ksh14M😂🤣

Hizo zenye mko nazo ni 9M.

Again do you know the work of Terrius axle in a bus? Terrius doesn’t determine the price of a bus, if you know it’s function then utaacha kujiaibisha hapa.
View attachment 3011374
Narudia tena maelezo yangu hatuna youtong kama hio na bus nyingi za Tanzania kutoka china lazma ziwe na terrius 😅😅👇

20240607_200205.jpg



Bus moja ya kichina Tanzania ni above 450m na ni 0km
 
Hio ni kampuni ya kichina ilianza kwa fujo hapo muulize SASA hvi Nani ananunua hzo electric bus Kenya 😅😅😅😅😅
Hizo haziwezi piga masafa ya mkoa hadi mkoa, ni hizi bus za kupelekea watoto shule na routes fupi, sasa hizo si bora kuendelea kutumia coaster na mwendokasi.
 
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
Hamna pesa za kununua hizo buses. Nyinyi mmezoea those cheap and fake buses😂😂
 
Kama washapata order, mbona wasiuze?😂😂😂

Hueziuza kitu kama hakuna order. Imagine hadi deposit ishalipwa, delivery ndio inangojwa sasa😂😂🤣👇👇👇

View attachment 3011375
Leta ushahidi kua walitengeza bus 500 alaf wakauza bus 500 mm nafunga ACC SASA hvi ukipata 😅😅😅😅😅😅😅

Na hutopata ushahidi wameuz bus 100 mpaka dunia inasimama na so far hakuna mauzo ya electric bus watu wamerudi kwenye nganya za kunguni 😂😂😂😂
 
Leta ushahidi kua walitengeza bus 500 alaf wakauza bus 500 mm nafunga ACC SASA hvi ukipata 😅😅😅😅😅😅😅

Na hutopata ushahidi wameuz bus 100 mpaka dunia inasimama na so far hakuna mauzo ya electric bus watu wamerudi kwenye nganya za kunguni 😂😂😂😂
Utalia sana. Wewe ngoja waganda wawauzie mikebe Yao 😂😂😂

IMG_0266.png
 
Back
Top Bottom