Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The latest fake Youtong bus which is still not available in Tz is Ksh14M. Hizo zenye mko nazo which mostly are refurbished are 9M.
View attachment 3011361
Hatuna bus kama hio alaf most of Chinese bus in Tanzania zinakua na terrius kwa nyuma ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Akili yako ww ni finyu huwez lazmisha nyeupe kua nyeusi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

20240607_200205.jpg
 
Endeleeni kishangilia vitu vya Uganda baadala ya kutengeneza yenu๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚.

I can also see tukiinunua kwa duka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

View attachment 3011354
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
 
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
Hio ni kampuni ya kichina ilianza kwa fujo hapo muulize SASA hvi Nani ananunua hzo electric bus Kenya ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hatuna bus kama hio alaf most of Chinese bus in Tanzania zinakua na terrius kwa nyuma ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Akili yako ww ni finyu huwez lazmisha nyeupe kua nyeusi ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View attachment 3011370
Basi kama hii hamna na hamtakuwa kuwa nayo. This is the latest release by Youtong and itโ€™s only Ksh14M๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Hizo zenye mko nazo ni 9M.

Again do you know the work of Terrius axle in a bus? Terrius doesnโ€™t determine the price of a bus, if you know itโ€™s function then utaacha kujiaibisha hapa.
IMG_0265.png
 
Gets order nataka kuona mauzo ya 100 buses as u said ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Order nitofaut na mauzo, order inaeza tolewa na ikawa cancelled also ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Kama washapata order, mbona wasiuze?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hueziuza kitu kama hakuna order. Imagine hadi deposit ishalipwa, delivery ndio inangojwa sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

IMG_0266.png
 
Basi kama hii hamna na hamtakuwa kuwa nayo. This is the latest release by Youtong and itโ€™s only Ksh14M๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Hizo zenye mko nazo ni 9M.

Again do you know the work of Terrius axle in a bus? Terrius doesnโ€™t determine the price of a bus, if you know itโ€™s function then utaacha kujiaibisha hapa.
View attachment 3011374
Narudia tena maelezo yangu hatuna youtong kama hio na bus nyingi za Tanzania kutoka china lazma ziwe na terrius ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ‘‡

20240607_200205.jpg



Bus moja ya kichina Tanzania ni above 450m na ni 0km
 
Hio ni kampuni ya kichina ilianza kwa fujo hapo muulize SASA hvi Nani ananunua hzo electric bus Kenya ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Hizo haziwezi piga masafa ya mkoa hadi mkoa, ni hizi bus za kupelekea watoto shule na routes fupi, sasa hizo si bora kuendelea kutumia coaster na mwendokasi.
 
Hebu tuletee na specs zake inakwenda how many KMs?
Imekaa kama city bus ya kuzungukia mjini na routes fupi fupi..

Kama inakwenda 500km per charge kampuni za Tanzania zitakuja kununua.
Hamna pesa za kununua hizo buses. Nyinyi mmezoea those cheap and fake buses๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kama washapata order, mbona wasiuze?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hueziuza kitu kama hakuna order. Imagine hadi deposit ishalipwa, delivery ndio inangojwa sasa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

View attachment 3011375
Leta ushahidi kua walitengeza bus 500 alaf wakauza bus 500 mm nafunga ACC SASA hvi ukipata ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Na hutopata ushahidi wameuz bus 100 mpaka dunia inasimama na so far hakuna mauzo ya electric bus watu wamerudi kwenye nganya za kunguni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Leta ushahidi kua walitengeza bus 500 alaf wakauza bus 500 mm nafunga ACC SASA hvi ukipata ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…

Na hutopata ushahidi wameuz bus 100 mpaka dunia inasimama na so far hakuna mauzo ya electric bus watu wamerudi kwenye nganya za kunguni ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Utalia sana. Wewe ngoja waganda wawauzie mikebe Yao ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

IMG_0266.png
 
Back
Top Bottom