Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Sema unaumia bongolala. Leta project kama hiyo mwanza tuoneKama kawaida, render pointing north actual thing pointing South 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sema unaumia bongolala. Leta project kama hiyo mwanza tuoneKama kawaida, render pointing north actual thing pointing South 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Let's compare total length of paved roads kati ya Kenya na Tanzania tujue ni wapi ndio Kuna vumbi na topeKwani hiyo ni barabara ya kwanza ya tope huko Kenya? Huko kwenu ni vumbi tupu hakuna maajabu mzee.
Nadhani Surname tu zinafanana. Lakini na yeye katokea Kigoma. Anaitwa Enekia Kasonga LunyamilaHuyu ni mtoto wa Lunyamila?
Kwa hivyo leo litakuja bure JNIA,Aliekwambia ndege itakaa hapo hapo ikimsubiri ni Nani?? 😂😂😂😂😂
Tuoneshe 'good quality' dual road in any part of rural TanzaniaAnother poor quality road
Utaambiwa ulete data ukileta utaambiwa data yako Iko cooked.😂😂Let's compare total length of paved roads kati ya Kenya na Tanzania tujue ni wapi ndio Kuna vumbi na tope
Mama anasafiri na msafara wa watu wengi including wafanyabiashara hivyo Gulfstream haitatosha possibly atatumia 737 MAXKwa hivyo leo litakuja bure JNIA,
alafu kisha lirudi bure tena tarehe 5 South Korea kumchukua. Gharama ni hizo hizo..
Likowapi lile Gulf Stream
😅😅😅😅😅😅
Wanaona quality lakini?Tunawakumbusha wakenya kuwa hapa siyo Dar. Hapa ni Kilombero mbali kabisa
View attachment 3004802
View attachment 3004803
View attachment 3004804
Welcome to Kunyaland 😁😁USA of Africa 🤣 🤣 🤣 🤣
Uongo?Utaambiwa ulete data ukileta utaambiwa data yako Iko cooked.😂😂