Raia anakutana official na Rais kwa haya mavazi?? Ni dharau
A reason why Ukunyani hamna CAF Approved stadium! Doh Viti baa!40,000 capacity stadium in Bungoma Kenya. Construction ongoing. Permanent seats to be placed after Madaraka day
View attachment 3004316View attachment 3004317View attachment 3004318View attachment 3004319View attachment 3004320View attachment 3004322View attachment 3004323
Mama anasafiri na msafara wa watu wengi including wafanyabiashara hivyo Gulfstream haitatosha possibly atatumia 737 MAX
Kawaida yaoUtaambiwa ulete data ukileta utaambiwa data yako Iko cooked.😂😂
ACTL itakuwa iko very idle Sana, ndege kubwa kama Boeing 787-8 dreamliner chartered kumpeleka suluhu South Korea kwa summit ambayo inaanza tarehe 4.....
View: https://twitter.com/MwangiMaina_/status/1796427180307779728?t=mPXZliJBodUP5EYIRvHl1g&s=19
Gulf stream liko wapi ambalo munajiringishia.Ulitaka akodishe ndege nje ya nchi ama unatakaje?
Sasa mzee unatupangia cha kufanya wakati ni ndege yetu. You are desperate.Gulf stream liko wapi ambalo munajiringishia.
Hesabu zangu za haraka haraka, kukodisha 787-8 dreamliner kwa siku 5 inaleta bill ya $697,905. Hii hasara inaingia kwa ACTL.
Tunasubiri ripoti ya CAG 😅😅
Ushamba.Building launch Tatu City...View attachment 3004975View attachment 3004971View attachment 3004972View attachment 3004973
Hajaenda kwaajili ya Korea Africa summit tuu bali ana official visit kwa invitation ya south korea na ameondoka na viongozi wengine pamoja na wafanyabiashara sera yetu ni economic diplomacy.Anatumia 787-8 dreamliner, ndege yenye uwezo wa 240 passengers..
Kama ameenda kwa niaba ya African summit, itaanza tarehe 4
Fanya hesabu ya hasara ambayo ACTL itapata🤔
Kuna sababu za msingi kurudisha hii route
Hajaenda kwaajili ya Korea Africa summit tuu bali ana official visit kwa invitation ya south korea na ameondoka na viongozi wengine pamoja na wafanyabiashara sera yetu ni economic diplomacy.
Mwanza kuna miradi ya gharama kubwa kuliko miradi yote inayofanyika East and central Africa.Sema unaumia bongolala. Leta project kama hiyo mwanza tuone