Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

That is a sure signal that the giant is awakening take heed and grab your economic glocks and stay aside. Mtupisheeeee.
Hamna cha awakening signal....
Hio ni ishara ya kifo cha dar slum real estate
Ikiwa mzizima tower imewachukua miaka 11 kumaliza na bado haijapata biashara wakati Nairobi, skyscrapers za 2022 zimepata full occupancy kwanini foreign ministry yenu isipagawike
 
Wajinga wakina ChoiceVariable ndio wanakuambia eti anaupiga mwingi. Li maza limeturudisha sana nyuma, mno. Inchi inapigwa kila kona, wakina Makamba wamekuja na aina nyingine ya upigaji, mtu aliyeitia nchi gizani. Limeenda huko Korea Kusini kuttutia mideni mikubwa wakati hizo9 fedha zinaishia mikononi mwa wahuni wa CCM.
Wanachama wa CCM kila siku wanasafiri makundi kwa makundi, mtu hajawahi hata kuwa na passport kafosi kapata passport huyoo China, siku moja nikamuuliza mmoja wao, mnaenda kufanya nn huko mana naona makundi yanaondoka tu, eti wanaenda kujifunza siasa za China, aloo niliumia sana sema nikakausha.
Mama ameiumiza sana nchi aisee, itachukua miaka mingi sana kukaa sawa.
 
Wanachama wa CCM kila siku wanasafiri makundi kwa makundi, mtu hajawahi hata kuwa na passport kafosi kapata passport huyoo China, siku moja nikamuuliza mmoja wao, mnaenda kufanya nn huko mana naona makundi yanaondoka tu, eti wanaenda kujifunza siasa za China, aloo niliumia sana sema nikakausha.
Mama ameiumiza sana nchi aisee, itachukua miaka mingi sana kukaa sawa.
Moja wa wana makundi walioenda huko ni Victoria Mwanziva, mkuu wa wilaya ya Ludewa. However, gharama za kuwapeleka huko ni za CCM or CCP, serikali ya Tanzania or China?
1717149015670.png
 

Attachments

  • 1717148999161.png
    1717148999161.png
    86.1 KB · Views: 5
Wajinga wakina ChoiceVariable ndio wanakuambia eti anaupiga mwingi. Li maza limeturudisha sana nyuma, mno. Inchi inapigwa kila kona, wakina Makamba wamekuja na aina nyingine ya upigaji, mtu aliyeitia nchi gizani. Limeenda huko Korea Kusini kuttutia mideni mikubwa wakati hizo9 fedha zinaishia mikononi mwa wahuni wa CCM.
Nyuma wapi mlikorudishwa wewe Sukuma gang? 😆😆😆

Mbele au nyuma ni namba ndio zinasema sio povu lenu 😂😂😂

Kama watu wanapiga na kutafuta pesa yet maelfu ya miradi Kila sekta inatekelezwa Sasa hapo Kuna shida gani? Mbona nyie mlipora pesa za watu na hakuna mradi mlikamilisha Kwa miaka 6 na yote anakamilisha huyu huyu unaemuita Limaza?

Sukima gang jishimiloeni vizuri,Hivi ndivyo mama anaupiga mwingi 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7oOIS9oujL/?igsh=YXEzMmVtdGtqMzk5
 
Nyuma wapi mlikorudishwa wewe Sukuma gang? 😆😆😆

Mbele au nyuma ni namba ndio zinasema sio povu lenu 😂😂😂

Kama watu wanapiga na kutafuta pesa yet maelfu ya miradi Kila sekta inatekelezwa Sasa hapo Kuna shida gani? Mbona nyie mlipora pesa za watu na hakuna mradi mlikamilisha Kwa miaka 6 na yote anakamilisha huyu huyu unaemuita Limaza?

Sukima gang jishimiloeni vizuri,Hivi ndivyo mama anaupiga mwingi 👇👇

View: https://www.instagram.com/p/C7oOIS9oujL/?igsh=YXEzMmVtdGtqMzk5


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1796487372449948012
 
Back
Top Bottom