TEMLO DA VINCA
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 3,070
- 3,335
Kashirikishana na nani??? JiongezeeWilly Paul ni wa Bongo slum? Heeeeee 🤣 🤣 🤣
Kashirikishana na nani??? JiongezeeWilly Paul ni wa Bongo slum? Heeeeee 🤣 🤣 🤣
Funga mdomo maana hamna club Ukunyani inaweza afford kukodisha open bus!Tena kutoka nchi jirani.😂😂
😆😆😆😆😆😆😆 pesa ya lodge pia shida
View: https://x.com/C_NyaKundiH/status/1794706500797321630?t=8WMb19mRx52vHrDL2emvRQ&s=19
it counts on clicks mind u Youtube is owned by Google when u search for a musician it counts!Music is different from googling a country you fool.
Nambie mzee wa kubeba box USA, upoo?Am too drunk already… 🙃😀😀.. round 2 ni tomorrow… you keep me entertained… at least you make excuses for me to my wife… Bless your heart .. You might be an idiot but at least you make yourself useful sometimes…😆😆
My friend wacha kujidanganya 99% ya watanzania hawajui chochote kuhusu Kenya, ukiwauliza watanzania kuhusu Kenya hawamjui hata rais wa Kenya, juzi tu alikuja Mandonga huko kwenu ili kukuza boxing ya Kenya, akaulizwa kuhusu rais wa Kenya hamjui jina mpaka akaambiwa ila over 80% ya wakenya wanajua kila kitu kuhusu Tanzania mpaka rais wa Tanzania anajulikana Kenya nzima kama yeye ndio rais huko Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nyang'au wamekalia kukariri ugoko huku majengo yanaporomoka tu kila kukicha.😎
View: https://m.youtube.com/watch?v=w53O3BghW-c
Mm mwenyewe siijui Naskia ni kampuni ya tajiri kutoka kahama nimeulizia 😅😅😅😅😅 jamaa ana bus zaidi ya 600Hii kampuni ni ndogo sana Tanzania wala haijulikani ila ingekuwa ni Kenya hii ni size ya kina Ena Coach na Tahmed
Raha yake ndugu mjumbe walau uwe unapesa basi SASA kama huyu unaona kabisa ni kwangu pakavu tia mchuzi, gari yenyewe ya kuleta hesabu hii, atleast gari kubwa kama Alphard au noah 😅😅😅😅😅Mwenyekit, hayo mambo kuna raha yake ambayo haielezeki 😎
Cha kushangaa mpaka DJ AllyB wanamjua juzi Kati kaenda eldoret Huko akapewa na escort kubwa, convoy utasema waziri mkuu😅😅My friend wacha kujidanganya 99% ya watanzania hawajui chochote kuhusu Kenya, ukiwauliza watanzania kuhusu Kenya hawamjui hata rais wa Kenya, juzi tu alikuja Mandonga huko kwenu ili kukuza boxing ya Kenya, akaulizwa kuhusu rais wa Kenya hamjui jina mpaka akaambiwa ila over 80% ya wakenya wanajua kila kitu kuhusu Tanzania mpaka rais wa Tanzania anajulikana Kenya nzima kama yeye ndio rais huko Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ila Kenya kuna open bus. Hatuitaji kuikodisha nje.Funga mdomo maana hamna club Ukunyani inaweza afford kukodisha open bus!