Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwenyekit, hayo mambo kuna raha yake ambayo haielezeki 😎
Raha yake ndugu mjumbe walau uwe unapesa basi SASA kama huyu unaona kabisa ni kwangu pakavu tia mchuzi, gari yenyewe ya kuleta hesabu hii, atleast gari kubwa kama Alphard au noah 😅😅😅😅😅

Huyo jamaa sitoshangaa kukosa pesa ya lodge hata sishangai kabisa
 
My friend wacha kujidanganya 99% ya watanzania hawajui chochote kuhusu Kenya, ukiwauliza watanzania kuhusu Kenya hawamjui hata rais wa Kenya, juzi tu alikuja Mandonga huko kwenu ili kukuza boxing ya Kenya, akaulizwa kuhusu rais wa Kenya hamjui jina mpaka akaambiwa ila over 80% ya wakenya wanajua kila kitu kuhusu Tanzania mpaka rais wa Tanzania anajulikana Kenya nzima kama yeye ndio rais huko Kenya 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Cha kushangaa mpaka DJ AllyB wanamjua juzi Kati kaenda eldoret Huko akapewa na escort kubwa, convoy utasema waziri mkuu😅😅
 
it counts on clicks mind u Youtube is owned by Google when u search for a musician it counts!
We are talking about countries you idiot, not musicians. If you have issues with it, write to Google. We didn't come up with those statistics.
 
You do not have intellectual capacity to understand my comment. I did not mean brain as an organ you muppet go back to school acha kujificha hapo kibera ukivizia deiwaka ya matatuu.
So you had to reply to my comment twice to feel satisfied? Kweli nimeguza nerve😂😂🤣🤣.

Again your comment doesn’t need any intellectuality for anybody to understand cause it’s bare and plain that even a toddler can understand it without struggle.
 
Back
Top Bottom