Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Another Mall another Cinema in town.


d4a92282967435f7dd2036768c983076.jpg




dbe36dc927416c2e393b54f318732f9b.jpg



dac75434bf3abcb0481ec56e1e70aac7.jpg




b9d94525efb31bd3f3f6caa3ba5860e3.jpg


6aa82645171ad78e5a95d772daff2c2e.jpg



bf5f9bda8989f1b12cd965ccca79da35.jpg



5bb1056ac7287201c7fd53c90c81519c.jpg
Exactly. Like........ Msa........wekeni...photo za dar slum unique malalas
 
Itakuaje news wakati mliona wageni wote mashuhuri duniani kuanzia Bill Gate, na celebrities wote walimiminika Tanzania mwaka huu, is Thienry Hery still popular?
Bill gates came to Kenya in 2013 and was spotted in Eldoret......most of these celebrities like Mourinho Guardiola come to Kenya many times and its no big deal.....watanzania ninakuja next year kupitia hiyo airport mbovu ya nyerere. .mniwekee red carpet na maua pamoja na watumbuizaji wa ngoma za sengenya kutoka zenj
 
Bill gates came to Eldoret in 2013 and was spotted in Eldoret......most of these celebrities like Mourinho Guardiola come to Kenya many times and its no big deal.....watanzania ninakuja next year kupitia hiyo airport mbovu ya nyerere. .mniwekee red carpet na maua pamoja na watumbuizaji wa ngoma za sengenya kutoka zenj
Leta pics plz tafadhali😀😀😀😀
 
Bill gates came to Kenya in 2013 and was spotted in Eldoret......most of these celebrities like Mourinho Guardiola come to Kenya many times and its no big deal.....watanzania ninakuja next year kupitia hiyo airport mbovu ya nyerere. .mniwekee red carpet na maua pamoja na watumbuizaji wa ngoma za sengenya kutoka zenj
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Karibu sana mkuu kwenye nchi ya amani na utulivu, karibu katika nchi ya maziwa na asali, karibu katika nchi ya walimbwende watamu zaidi ya asali.

Onyo; Ili kulinda ndoa yako usije na mkeo kama ni mkenya kwasababu utakuja kushindwa kuzunguka naye mjini, muda mwingi macho yako yatakuwa yanavutika kwa warembo wa bongo[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Exactly. Like........ Msa........wekeni...photo za dar slum unique malalas
One thing you didnt see there which might take centuries in Mombasa to get is BRT 😀😀😀😀, or a proper world class Public transport, Something your overratted Nairobi missing, I heard you don t even have a bus, Yaani nyie ni wazee wa Tuta msaada niacheeee 😀😀😀😀😀😀 mambo ya vipanya Dar miaka 15 iliyopita.
 
Do you know what a mall is
This is our New Mall called AURA MALL, sasa wewe kama unataka kutoa definition ya MALL save it.

FYI Dar es salaam is becoming a proper modern WALKABLE CITY.

Where I live I can walk to Mkuki House Mall, City Mall, Jmall and This new Mall (AURA MALL ) They are within 2 km radius. Also I can reach Quality Center Mall by a Dalalala in 10 Minutes. If I want to get away I can take a BRT Bus to Mlimani city. Dont forgrt Morocco squire Mall is at the BRT terminal (Morocco Terminal)

See? WALKABLE, clean, Pedestrian and Cyclist friendly happening anturally in my City.
 
Back
Top Bottom