Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mpaka sasa hatujaanza kutumia mkopo na tushatoa pesa ya phase mbili kutoka mfukoni 3.16 b usd😀😀😀
tanzania ianjenga reli mpaka rwanda and burundi kwa 7 b usd mpaka sasa 3.16 tushatoa mfukoni kwetu na uelewe mpaka sasa hatujachukua mkopo sehemu yoyote
kenya inajenga kwa 13 b😀😀😀😀😀😀😀 only phase one mushakopa 3.8 b usd bao phase 2n na muna deni tayar ya 60% so chukua 13 - 3.8 = 9.2 ongeza kwa deni lenu ya 60% jibu utalipata
Picha za phase 1&2 na sio tafadhali.
 
mpaka sasa hatujaanza kutumia mkopo na tushatoa pesa ya phase mbili kutoka mfukoni 3.16 b usd😀😀😀
tanzania ianjenga reli mpaka rwanda and burundi kwa 7 b usd mpaka sasa 3.16 tushatoa mfukoni kwetu na uelewe mpaka sasa hatujachukua mkopo sehemu yoyote
kenya inajenga kwa 13 b😀😀😀😀😀😀😀 only phase one mushakopa 3.8 b usd bao phase 2n na muna deni tayar ya 60% so chukua 13 - 3.8 = 9.2 ongeza kwa deni lenu ya 60% jibu utalipata
pesa zote zilikopwa hadi ifike uganda phase 2 inaelekea naivasha tayari tunnel ya 10km ngong imeisha ..phase 2 by june itakua done..nyinyi ata centimetre bado
 
pesa zote zilikopwa hadi ifike uganda phase 2 inaelekea naivasha tayari tunnel ya 10km ngong imeisha ..phase 2 by june itakua done..nyinyi ata centimetre bado
aliekwambia nani, mkopo hua unaenda phase kwa phase usifkiri wanakupa pesa yote😀😀😀😀😀😀😀
pesa za mkopo wa namna hio unakwenda phase kwa phase kwa sababu wao ndio wanaojenga na wao ndio wanatoa pesa
 
bado mnabishana na jiji la majengo mawili? jiji ambalo limejengeka 2015
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Tupo kibera tunafanya upgrades kabla hatujahamia Mathare...hizi ndio mahali maarufu Nairobi nashangaa tumekaa apa tunabishana na home of Africa's biggest slums
 
aliekwambia nani, mkopo hua unaenda phase kwa phase usifkiri wanakupa pesa yote😀😀😀😀😀😀😀
pesa za mkopo wa namna hio unakwenda phase kwa phase kwa sababu wao ndio wanaojenga na wao ndio wanatoa pesa
haha my friend lala haujui any deni iko included kwa 54% nyinyi bado centimetre na mna 40% before railway we had 30%.
 
bado mnabishana na jiji la majengo mawili? jiji ambalo limejengeka 2015
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
AIBU, Jiji lililojengeka 2015 likafunika jiji lililoanza kujitututumua toka 1960's, Kama mimi nisingeonyesha aibu hii. Yaani hadi mmalize vitower vyenu mnavyofukua mashimo sasa hivi , bado mtakua mnatembelea kichwa kwa idadi ya High rises (zenye hadhi) 😀😀😀😀
 
AIBU, Jiji lililojengeka 2015 likafunika jiji lililoanza kujitututumua toka 1960's, Kama mimi nisingeonyesha aibu hii. Yaani hadi mmalize vitower vyenu mnavyofukua mashimo sasa hivi , bado mtakua mnatembelea kichwa kwa idadi ya High rises (zenye hadhi) 😀😀😀😀
PPF TOWER 35flr,14 flr, 9flr
MNF TOWER 30flr ×2
MZIZIMA TOWER 35flr,33flr.
Nyumba zote hizi zinaisha 2018 bado wako na concrete mixer site.
 
haha my friend lala haujui any deni iko included kwa 54% nyinyi bado centimetre na mna 40% before railway we had 30%.
usijipe matumaini imf sio wajinga kukwambieni deni lenu limefika 60% na bado munataka mkopo ndio maana wakakwambieni mumevuka red line so usije kuota kua sgr yenu mushapewa pesa yote never 😀😀😀
wachina wanatoa pesa kwa phase kwa sababu wao ndio wanajenga na wanatoa pesa
 
AIBU, Jiji lililojengeka 2015 likafunika jiji lililoanza kujitututumua toka 1960's, Kama mimi nisingeonyesha aibu hii. Yaani hadi mmalize vitower vyenu mnavyofukua mashimo sasa hivi , bado mtakua mnatembelea kichwa kwa idadi ya High rises (zenye hadhi) 😀😀😀😀
wanachimba mashimo toka 2014 😀😀😀😀😀😀😀😀 alaf wanakwambia wanajenga
 
PPF TOWER 35flr,14 flr, 9flr
MNF TOWER 30flr ×2
MZIZIMA TOWER 35flr,33flr.
Nyumba zote hizi zinaisha 2018 bado wako na concrete mixer site.
Wenyewe wanajua pspf tu, kuna kitu 40fl kinakuja pale karibu na HALOTEL Morroco. na hivi ile hazina tower yao umepumuliwa hadi 15 fl 😀😀😀😀😀 yaani majengo yao sasa hivi ni marefu kwenda chini.
 
Wenyewe wanajua pspf tu, kuna kitu 40fl kinakuja pale karibu na HALOTEL Morroco. na hivi ile hazina tower yao umepumuliwa hadi 15 fl 😀😀😀😀😀 yaani majengo yao sasa hivi ni marefu kwenda chini.
"majengo yao marefu kwenda chini"...hii swahili metaphor sidhani kama wakenya wameielewa.ipo deep sana.
 
PPF TOWER 35flr,14 flr, 9flr
MNF TOWER 30flr ×2
MZIZIMA TOWER 35flr,33flr.
Nyumba zote hizi zinaisha 2018 bado wako na concrete mixer site.

PPF TOWER 35flr,14 flr, 9flr

PPF HQ Sam Nujoma Road by indaressalaam, on Flickr


MNF TOWER 30flr ×2

Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, on Flickr


Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, on Flickr


MZIZIMA TOWER 35flr,33flr.

From Golden Tulip Downtown by indaressalaam, on Flickr


From Golden Tulip Downtown by indaressalaam, on Flickr
 
Wenyewe wanajua pspf tu, kuna kitu 40fl kinakuja pale karibu na HALOTEL Morroco. na hivi ile hazina tower yao umepumuliwa hadi 15 fl 😀😀😀😀😀 yaani majengo yao sasa hivi ni marefu kwenda chini.
oya ndinda jengo gani hilo 40fl, hazina tower imetoka 40 mpaka 15 noma sana😀😀😀
 
PPF TOWER 35flr,14 flr, 9flr
MNF TOWER 30flr ×2
MZIZIMA TOWER 35flr,33flr.
Nyumba zote hizi zinaisha 2018 bado wako na concrete mixer site.
what are we comparing over here ....
Planning
Real estate
Think tanks
Multinational companies
Literacy levels
Infrastructure
Culture
fashion
civility etc
 
AIBU, Jiji lililojengeka 2015 likafunika jiji lililoanza kujitututumua toka 1960's, Kama mimi nisingeonyesha aibu hii. Yaani hadi mmalize vitower vyenu mnavyofukua mashimo sasa hivi , bado mtakua mnatembelea kichwa kwa idadi ya High rises (zenye hadhi) 😀😀😀😀
ni nini exactly mnatishia nayo mombasa if I may ask considering 85% of your city is covered in informal dwellings
 
bado mnabishana na jiji la majengo mawili? jiji ambalo limejengeka 2015
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
2015,inaenyesha nairobi ya tokea 1970,2025 nitakuwa hapa ktk uzi huu kukukatia vipande ktk dsm vywa kuweka ligi za nairobi.maana dar yote itafurikia nairobi.
 
Back
Top Bottom