Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

You've just made me realize pia sijui VP wa Tz. That's weird. Wao ni kama wanajua wanasiasa wetu kutushinda. 🤣 🤣
Hawa wanafikiria Kenya 24/7.

Samia Suluhu nimejua after the death of Magufuli. Right now I even don’t know their Vice President. Hao nao wanajua all the political parties in Kenya. They all know lineups za Azimio and UDA.
 
Basi la kuazima. 😂 😂 😂
Wanajeshi wa kenya wamekonda sana 🤣 🤣 🤣 🤣
1716719479172.png
 
Hawa wanafikiria Kenya 24/7.

Samia Suluhu nimejua after the death of Magufuli. Right now I even don’t know their Vice President. Hao nao wanajua all the political parties in Kenya. They all know lineups za Azimio and UDA.
Shughulikieni kwanza hizi mambo. Mama Ngina anakula vinono sana 🤣🤣🤣

1716719546933.png
 
Hawa wanafikiria Kenya 24/7.

Samia Suluhu nimejua after the death of Magufuli. Right now I even don’t know their Vice President. Hao nao wanajua all the political parties in Kenya. They all know lineups za Azimio and UDA.
Hatari sana. 🤣🤣🤣👇👇👇Kenya imeoza kwa rushwa. Police houses za Kenya.

1716719618234.png
 
Waaaa enyewe Kenya is a regional powerhouse. The only politicians I know in Bongoslum ni Tundu Lisu na Suluhu.

Wewe omera utajua nini juu ya kunyaland? Nchi iko na wenyewe...

Wewe subiri maandamano ya baba ukapige makarao na mawe...
 
Yani watanzania wanajua hadi Atwoli na Miguna?😂😂😂.

Kweli Kenya is East Africa Superpower. Mimi hata sikuwa najua Samia Suluhu before akuwe President.

Tunajua mengi zaidi ya hayoo..

Tunajua pia ni nani aliemuweka zakayo kwenye kiti... Na ameanza kuleta ukora wake ndio maana daily ni kama yuko kwenye kampeni tu.. Hajatoshea na kutulia kwenye kiti...

Atubu...
 
Tunajua mengi zaidi ya hayoo..

Tunajua pia ni nani aliemuweka zakayo kwenye kiti... Na ameanza kuleta ukora wake ndio maana daily ni kama yuko kwenye kampeni tu.. Hajatoshea na kutulia kwenye kiti...

Atubu...
Sawa nosy neighbors 😂😂
 
I can see you know Kenya kuliko Wakenya. Keep following Kenya😂

Nakujua na wewe pia na tabia yako ya ku tapeli wazee wa kizungu mtandaoni... Pesa unakula na kale kajamaa kako kadogo unachokilea..

Punguza mwili huo.. Bongo type yako wanaitwa mashangaziii
 
Back
Top Bottom