Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sisi tunakupea stadium zenu za ligi kuu ambazo mmezisifia humu kuwa stadium kubwa wewe unatuletea uwanja wa mtaa wa vijana wa mtaa kuchezea boli. Next utatupostia uwanja wa shule hapa Kenya badala ya kujibu swali. Nimekuuliza swali rahisi, tuonyeshe hiyo gate mwaka wa 2024.
Mzee hii hapa list ya Stadium za FKF 🤣 🤣 🤣 🤣 👇 👇

 
Nasubiria ushahidi nilikuomba ukalala mbele SASA leta ushahidi 😂😂😂😂😂😂😂😂
Nangoja ufunge account🤣🤣🤣

IMG_0235.png
 
Nairobi geared to host where ?? 🤣🤣🤣🤣
Ilifanyika wapi lini??? Leta ushahidi hapa

Na ukipata ilifanyika nitag 🤣🤣🤣🤣🤣
Huoni date ni December 2023? Ama umechanganyikiwa hadi ukasahau kusoma?🤣🤣🤣
 
Kutoka kwa January - Tanzania Oyee

I just concluded my visit to China with a tour of Shenzhen where I met and had dinner with the mayor and local leaders and visited major companies here and of Hong Kong where I met for strategy meetings with our Honorary Consuls for Hong Kong and Macau. I am grateful to Foreign Minister Wang Yi for invitation, warm hospitality, wide-ranging discussion and a kind gesture of organizing a banquet for me.

Minister Wang Yi and I expressed satisfaction with the state of our political and diplomatic relations and recommitted to strengthen them. We’ll expedite the signing of financing of two key projects - North East Grid Transmission Line and Rural Mobile Broadband Coverage, and work on next phases and other projects. We’ll continue to prioritize the strategic components of our cooperation - including defense. We’ll work on the proposal for the revamp of Dr Salim Ahmed Salim Center for Foreign Relations. We’ll encourage the conclusion of negotiations on TAZARA revitalization and Mchuchuma-Liganga project, which are progressing well. Tanzania will continue to enjoy China’s support, through SINOSURE and other mechanisms, in the financing of strategic projects.

Tanzania and China will continue to work together in the framework of FOCAC and other key programs, such as Global Development Initiative and Belt and Road Initiative, in pursuit of our development ambitions. In that respect, we agreed to intensify exchange of practical experiences in the modernization of key sectors such as agriculture and manufacturing. Generally, we’ve agreed to leverage our excellent political and diplomatic relations for expansion of trade, investment and people-to-people exchanges.

In our desire for usher in a global order underpinned by fairness and mutual respect, we agreed to promote the recently-adopted Dar es Salaam Consensus as the expression of common aspirations of developing countries. We also agreed to continue with efforts to depoliticize key global governance institutions.

The visit was very successful. I met with key people in Chinese government, its agencies, including China EXIM BANK and China International Development Cooperation Agency, and the private sector. I also met ambassadors of SADC countries in Beijing and conducted a number of media interviews to promote Tanzania in China and Tanzania’s relations with China.



View: https://x.com/JMakamba/status/1792481391831388335

Ingekuwa vizuri tungeongelea na jinsi ya ku revamp SINOTASHIP company.
 
Sawa imekua picked SASA kwann munafanya renovations again ?? Au hujui sababu ya kwann munafanya renovations tena mara ya pili 🤣🤣🤣🤣🤣

Watakuja tena kufanya inspection alaf mule tena pesa kama mulivofanya mara ya Kwanza alaf muone kama itachezwa CHAN hapo😂😂😂😂😂
Renovation ya Nyayo wa planned even before CAF wachague Nyayo to host CHAN. Mbona Azam na Aman hazikuchaguliwa?🤣🤣
 
Renovation ya Nyayo wa planned even before CAF wachague Nyayo to host CHAN. Mbona Azam na Aman hazikuchaguliwa?🤣🤣
Nyokooo eti we planned before walikuja wakaguzi kutoka CAF, mukapewa maagizo tena kufanyie KAZI ndio maana munafanya tena na watakuja tena kufanya inspection

SASA kuleni pesa kama mara ya Kwanza alaf uone kama itafanyika hapo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom