Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ndege ina dhambi mingi sana. Kuliko zote ni Ile kukubali kuitwa "brand new" wakati linajua vizuri sana ni chakavu na haistahili hilo jina brand new
Iweje ndege mpya ifanyiwe mid-life refitting, hapa hesabu haziingiliani, KQ ndege zinatumika kwa miaka mingi sana na mwishoe zina retire bila kupark kwa miezi minane.
 
Kumbe hio Tatu City ukubwa wake ni kama shamba la mahindi ila wakenya wanailinganisha na Dodoma😀
Screenshot_20240517_000043_Opera.jpg
 
Hii ndege ina dhambi mingi sana. Kuliko zote ni Ile kukubali kuitwa "brand new" wakati linajua vizuri sana ni chakavu na haistahili hilo jina brand new
Kwamba hamfahamu kuwa engine za Rolls Royce Trent 1000 zinazo tumika kwenye ndege za Boeing 787 zina hitilafu ama ni muendelezo wa akili finyu!
Kondoo hazina miradi mipya ya kuonesha, kondoo hazina facts. 😂😂😂
IMG_5994.jpeg
IMG_5995.jpeg
IMG_5996.jpeg
IMG_5997.jpeg
 
Back
Top Bottom