Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwalimu Nyerere aliwai sema kuna mtu mjinga na mtu mpumbavu. Mwalimu alisema ujinga ni ignorance. Mjinga ni yule asiyejua na akiambiwa inakwisha. Upumbavu nao ni foolishness. Foolishness ni kipaji kama ufupi na urefu. Mpumbavu hata ufanye nini hawezi badilika. Namshukuru Mwalimu Nyerere kwa kutueleza haya mambo ya busara maanake ametusaidia kujua tunadeal na Mpumbavu hapa maanake mjinga angekuwa ashaajua baada ya hii kuelezwa yote. 🤣 🤣
Lakini kwenye maelezo yake hayo ya busara kama ulivyokiri hakuishia hapo, pia alisema "Kenya is a man eat man society".
Shukran kwa kuyapa uzito maneno ya hekima ya mwalimu.
 
Tanzania kila mtu ni either wa Yanga ama Simba, very backward country 😂😂.

Kenya.

Tusker
1715792732461.jpeg


Shabana
1715792829588.jpeg

1715792863118.jpeg


Murang’a Seals
1715793004599.jpeg
 
Ikiwa hii ndio mitihani yao ya History form four huko kwao, usitarajie hawa mbwa kujua chochote kuhusu historia ya dunia na Africa 🤣🤣🤣 hizo maelezo wanapost wanaokota Google tu. 👇
Form-4-History-Paper-1-End-Term-1-2021-Exam_855_0.jpg
Form-4-History-and-Government-Paper-1-End-of-Term-1-Examination-2022_1234_0.jpg
🤣🤣🤣 mtoto wa form one Tz anaeza buruza hizo mbuzi za kenya vibaya mno.
 
Hii picha Nina idownload for future reference

Reli yenu was unfinished na kutokujali ubora mkakimbilia kuanza operation.

Hapa ndio mwanzo wa Reli yenu? 😂😂😂😂😂

Awamu ya kwanza phase 1 and phase 2 Tumejenga marshalling yards mbili, ukubwa wake east and central Africa hakuna kabisa

View attachment 2989413

Now compare what we built and silly little thing ulichoshare.

We have another one in Dodoma, Isaka, Makutupora to Kigoma, and biggest differentiator ni kuwa sisi tuna aina mbili za station freight stations and passengers station, same to all marshalling yards zote ziko karibu na hizi station.

Kingine port link tunajenga separate line kabisa na kupunguza load sehemu moja tumewa port links kwenye freight stations

Kenya kwenye SGR na miundombinu ya kisasa na bora mpo Nyuma ya Tanzania miaka 100
That's not a marshalling yard but dry port area.
Na washenzi 9 wanalike.
Hii nchi imejaa kihiis tupu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom