Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Star Times Kuitangaza “Amazing Tanzania”

Na Mwandishi Wetu, Beijing

Kampuni ya huduma za Televisheni ya nchini China ya StarTimes itakuwa tayari kurusha filamu ya “Amazing Tanzania” kupitia Tv na mitandao yao ya kijamii ili kuwafikia watalii wengi zaidi kutoka nchini humo kutembelea Tanzania.

Hayo yamesemwa na Mwenyekiti na Mwanzilishi wa StarTimes Group, Bw. Pang XinXing, wakati wa ziara ya wajumbe wa Kamati ya Rais ya Kuitangaza Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti ambaye ni Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hasssan Abbasi, walipotembelea makao makuu ya taasisi hiyo Beijing nchini China leo Mei 13, 2024.

“Kutokana na mahusiano mazuri yaliyopo kati ya China na Tanzania dna kupitia uwekezaji wetu wa StarTimes nchini Tanzania na nchi nyingine za Afrika, tutatoa ushirikiano wa kila namna ili filamu ya Amazing Tanzania iwafikie watazamaji wengi zaidi wa Kichina duniani,” alisema Bw. Pang XinXing ambaye pia wataalamu wake ni sehemu ya magwiji wa kutayarisha filamu walioshiriki kuiandaa filamu hiyo.

Dkt. Abbasi katika ziara hiyo ambapo pia walikutana na baadhi ya Watanzania wanaofanya kazi mbalimbali za habari na kuingiza sauti (dubbing) kwenye makao makuu hayo ya StarTimes aliambatana na wajumbe wengine wa Kamati hiyo akiwemo Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar, Fatma Mabrouk na Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Bw. Anderson Mutatembwa.

Filamu ya Amazing Tanzania itazinduliwa rasmi Mei 15, 2024 hapa jijini Beijing China katika hafla ambapo pia msanii mashuhuri hapa China aliyeshiriki filamu hiyo Jin Dong atahutubia.
 

Attachments

  • 1715610945302.png
    1715610945302.png
    3.8 MB · Views: 1
  • 1715611056640.png
    1715611056640.png
    8.5 MB · Views: 1
Eti Mimi Niko na account nyingine. Jamani 🤣🤣🤣
Hakuna mtanganyika ako desperate hapa kukushinda. Utakufa kwa pressure
Yani 24/7 upo JF huoni kuwa ni ushamba? Mpo na Kunyatalk.com lakini mnatukanana tu. What wrong with you?
 
Mitanganyika yakishakosa majibu yanashikwa na hamaki hivi na kuanza kurusha matusi. Mkubali tu hamna maghorofa ukitoa Posta, Kariakoo na upanga
Yale ni nini kama sio magorofa!?
Au ni nini maana ya magorofa!?
Embu nipe tafsiri ya gorofa ni nini?
Mwishowe Kenya kubalini mna ujenzi mbovu,kila siku nyumba zinaanguka.
Nina mashaka na elimu ya vyuo vyenu vya uhandisi.

Soma maana ya ghorofa hapo uelewe.
Maana unabishana usenge.
Ukishasoma njoo chini unambie je haya sio maghorofa!?
Halafu uniambie kwanini Kenya yanaanguka na Tanzania hayaanguki!?
Screenshot_2024-05-13-19-31-29-26_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
Screenshot_2024-05-13-11-04-07-51_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Mitanganyika yakishakosa majibu yanashikwa na hamaki hivi na kuanza kurusha matusi. Mkubali tu hamna maghorofa ukitoa Posta, Kariakoo na upanga
Wacha utoto pumbavu wewe, nchi ina miradi yenye thamani kubwa kuliko miradi ya nchi zote za EA combined itakosa kuwa na maghorofa mengi kuliko failed state ya kunyaland? Wacha upuuzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom