Reborn Ktb
JF-Expert Member
- Mar 14, 2021
- 6,820
- 9,588
Leta majaribio alafu pili mizigo yenu ni finyu ikilinganisha na Mombasa portReli ya TZ pia inaruhusu double stack.
Leta majaribio alafu pili mizigo yenu ni finyu ikilinganisha na Mombasa portReli ya TZ pia inaruhusu double stack.
Usitake kutudanganya bhana.Alafu unataka watalii wajionee vipi wanyama pori!!
Endelea tu kuomba while we all know including you that Kenyan trains have high speed kuliko Tanzanian trains.
5hrs 30 min of breathtaking views😎Naipori Mambasa 6 hours speed kubwa indeed 🤣🤣🤣🤣
Majaribio ya mizigo bado we tulia ikija utaona tu muda bado buddah.Leta majaribio alafu pili mizigo yenu ni finyu ikilinganisha na Mombasa port
Wanachekesha hawa jamaa.Naipori Mambasa 6 hours speed kubwa indeed 🤣🤣🤣🤣
Aaaah wapii.5hrs 30 min of breathtaking views😎
Hata ndege pia mlikuja kwa kiherehere hiki, tuliza kijambio na tuletee majaribio ya double stack kwanza alafu tuendeleeUsitake kutudanganya bhana.
Watalii gani!?
What is the purpose ya kujenga hiyo reli!?
Boresheni reli yenu ya kawaida ili watalii wapande.
Sisi TZ tumeboresha MGR yetu ambayo watu/watalii wanatembea kwa mwendo wa 90-110km/hr huku wakifurahia mandhari ya asili.
Ila OUR SGR imeundwa kwaajili ya rapid transit.
Ninyi endeleeni kuunda excuses kila leo.
Kwa akili yako mizigo itayosafirishwa ya bandari tu!?Leta majaribio alafu pili mizigo yenu ni finyu ikilinganisha na Mombasa port
Majaribio hayajafanyika we tulia yafanyike kijana.Hata ndege pia mlikuja kwa kiherehere hiki, tuliza kijambio na tuletee majaribio ya double stack kwanza alafu tuendelee
Enda kwa website ya sgr alafu book train kutoka Nairobi kwenda Mombasa uangalie arrival itachukua how long.Aaaah wapii.
Masaa 6 na usheheenaa.
Halafu Dar to Dom ni 500+kms na tunaenda kwa masaa 3.
Ushuzi mtupu😎Enda kwa website ya sgr alafu book train kutoka Nairobi kwenda Mombasa uangalie arrival itachukua how long.
Kila dakika inayopita Kama hilo dude lenu halifanyi kazi ndio gap tunazidi kuipanua. Sasa endeleeni kufanya test miaka mitatu ama engine zinashida😅😅Majaribio hayajafanyika we tulia yafanyike kijana.
Bado hatujamaliza majaribio
Komora we endelea kuzubaa na kukariri hapo kisumu ndogo slumUkiongea hivi mtu anaweza dhani umewai toka hapo Tandale.
Huwezi ongea senstensi moja sanifu kwa Kiingereza alafu utuaminishe umetembea? Wewe na Sama Boy one whatsapp group.Komora we endelea kuzubaa na kukariri hapo kisumu ndogo slum
Huwezi ongea senstensi moja sanifu kwa Kiingereza alafu utuaminishe umetembea? Wewe na Sama Boy one whatsapp group.
Unanambia nifanye nilichokichunguza tayari.Enda kwa website ya sgr alafu book train kutoka Nairobi kwenda Mombasa uangalie arrival itachukua how long.
Tulia kijana.Kila dakika inayopita Kama hilo dude lenu halifanyi kazi ndio gap tunazidi kuipanua. Sasa endeleeni kufanya test miaka mitatu ama engine zinashida😅😅
Namboole National Stadium Stadium in Kampala, Uganda