Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Believe whatever you want.🤣🤣🤣 wacha ubishi na ukubali ukweli, kenya na Uganda mko na garage za HOWO. the assembling plant is in Tanzania, full stop.
Believe whatever you want.🤣🤣🤣 wacha ubishi na ukubali ukweli, kenya na Uganda mko na garage za HOWO. the assembling plant is in Tanzania, full stop.
Usilie sasa 🤣🤣🤣Believe whatever you want.
Ni mskuma huyo. 🤣🤣🤣 anabisha kila kitu, hata kama hakijui. Ni mbishi kufa huyo. 🤣🤣Nakukubali mzee Teargas muha aliyezaliwa Kenya.
Wao ndio wa mwisho kupata alafu wanapiga kelele. Ebu angalia kama Rwanda wanayo pia. 🤣 🤣
Huwa unawekea mtu presha aprove kitu alafu akishaprove unaignore post. Hivi bado unaamini Kibera ina watu 2.5M?Nakukubali mzee Teargas muha aliyezaliwa Kenya.
Sisi hatuongelelei garage manzee 🤣🤣Wao ndio wa mwisho kupata alafu wanapiga kelele. Ebu angalia kama Rwanda wanayo pia. 🤣 🤣
Hao ndio wa mwisho kupata lakini hile kelele wako nayo ungedhani ni wao pekee ndio wanaunganisha HOWO trucks. Do you know why it’s called Slayqueen? Because they have assembly plant in almost all countries. Wengine wanawaita “Malaya”😂😂Wao ndio wa mwisho kupata alafu wanapiga kelele. Ebu angalia kama Rwanda wanayo pia. 🤣 🤣
Hivi hizi Makita impact driver wanazotumia hapa ni torque specific au ni kama zile zinazouzwa kwa general public.
Ukiwaona wakituingilia tukiongelea assembly plant zetu humu kumbe ni ni wivu tu. Nilidhani siku wataanza kupata assembly plants watazikataa. Kumbe ni kiu walikuwa nacho. 🤣 🤣Hao ndio wa mwisho kupata lakini hile kelele wako nayo ungedhani ni wao pekee ndio wanaunganisha HOWO trucks. Do you know why it’s called Slayqueen? Because they have assembly plant in almost all countries. Wengine wanawaita “Malaya”😂😂
Kwa sasa ishavuka 2.5m mana watu huwa wanaongezeka hawapungui, now itakuwa ishagonga 3m, ukiambiwa kibera ni biggest slum in the world sio kitu cha mchezo.Huwa unawekea mtu presha aprove kitu alafu akishaprove unaignore post. Hivi bado unaamini Kibera ina watu 2.5M?
Saturn Corporation Limited Huu moto umekuuma sana. Pole utazoea tu.Hao ndio wa mwisho kupata lakini hile kelele wako nayo ungedhani ni wao pekee ndio wanaunganisha HOWO trucks. Do you know why it’s called Slayqueen? Because they have assembly plant in almost all countries. Wengine wanawaita “Malaya”😂😂
Hakuna mtu anayekataa BJ 50 🤣 🤣 🤣 🤣Ukiwaona wakituingilia tukiongelea assembly plant zetu humu kumbe ni ni wivu tu. Nilidhani siku wataanza kupata assembly plants watazikataa. Kumbe ni kiu walikuwa nacho. 🤣 🤣
Wako na assembly plant ya kuunganisha only two automobile brands, moja ya tractor na ingine ya Slayqueen (HOWO)😂😂😂.Ukiwaona wakituingilia tukiongelea assembly plant zetu humu kumbe ni ni wivu tu. Nilidhani siku wataanza kupata assembly plants watazikataa. Kumbe ni kiu walikuwa nacho. 🤣 🤣
Ziko wapi hzo sinotan assembly nioneshe assembly plant hapo tatu mm nifunge ACC SASA hvi 🤣🤣🤣🤣 hayo ni mwandishi hata kwenye kanga yapo nioneshe hio assembly plant ya miaka sita hapo
Tanzania will always be 20yrs behind Kenya.
View: https://x.com/CollinsBriche/status/1747907155993174049
Ndio Dar imefika level ya Tatu City saa hii😂😂
View: https://x.com/audi_robert/status/1561692850269601793