Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,907
- 103,771
I guess you meant KM.ina runway ya 2.5m inatosha A220s na E190s kutua
wacha kuropoka wewe kwa hiyo viwanja vya KIA, Zanzibar haviwezi?
Alafu mbona wakenya wana makomwe hivi!!??Duhh komwe sasa utasema school bus🤣🤣
runway inaruhusu! Popote panapotua B747, dreamliner 787, A380 inaweza kutua! KIA, Zanzibar, Songwe hata Mwanza na Chato A380 inatua! Tumia google kujua.Sijasikia kama a380 Kama inaweza kutua viwanja vingine tofauti na dar na msalato ni jambo la kunielewesha nilicho ropoka nini
😂😂🤣🤣😆😆😆😆
Hehhe,hizi area zote unazotaja zina towers ngapi ziko over 20flr??,,najua ata hazifiki tano,,Na zote ziko Kwa kastreet kamoja kwingine ni uozo mtupu😂Wewe ni mgeni na Dar? Kwamba hujui hiyo ni section Moja tuu ya kule bandarini? Morocco,Mwenge,Kijitonyama,Kariakoo kote huko Kuna towers
News from Citizen Digital 🤣 🤣 🤣 🤣 Jipange tena uje. Kenya is The Sh1thole country![]()
Inside the world of online writing and why Kenyan youth are increasingly getting drawn to it
Late last year, the BBC published an article daringly titled ‘The Kenyans who are helping the world to cheat.'www.citizen.digital
I will stand with my point always . Dodoma haikuhitaji new international airport mwaka huu labda , 2030s the regional Airport was more than enough , ina runway ya 2.5m inatosha A220s na E190s kutua . Ilohitaji tu a good terminal buildinig with good capacity na 5star standards .
Airport ingejengwa 2030s , hio 200mi usd ingeenda kumalizia SGRs au Kupanua Dar port iwe na gati nyingi zaidi
It was a good priority but wrong time
Unajua wizara zikihamia yale majengo 68 plus, ofisi za makao makuu ya Taasisi na ubalozi zitafuatia. Ile airport itatumika vizuri kuchochea movements.
Tatizo facilities za ku accomodate a380 mfano bridges etc, ata Jomo Kenyatta airport inahimili b787 lkn haiwezi ku accomodate a380.runway inaruhusu! Popote panapotua B747, dreamliner 787, A380 inaweza kutua! KIA, Zanzibar, Songwe hata Mwanza na Chato A380 inatua! Tumia google kujua.
Tanzania hakuna nyumba za bati lkn Kenya zipo maelfu ya nyumba za mabati, hivi wewe kwa akili zako unaweza kulinganisha umaskini wa Tanzania na Kenya kweli? Hivi watanzania wanaweza kuwa maskini kuliko wakenya? Mbona mnaleta battle za kitoto sn humu.Of course mumetuzidi... Hata Kwa umasikini uliopitiliza pia mmetuzidi