President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 31,772
- 89,799
Leseni za Usafrishaji - 2023 Tanzania
maelezo ya hiyo video haijazungumzia airbridges wameongelea runway! Sidhani kama kama kutakuwa na gate ya a380!Tatizo facilities za ku accomodate a380 mfano bridges etc, ata Jomo Kenyatta airport inahimili b787 lkn haiwezi ku accomodate a380.
runway inaruhusu! Popote panapotua B747, dreamliner 787, A380 inaweza kutua! KIA, Zanzibar, Songwe hata Mwanza na Chato A380 inatua! Tumia google kujua.
Pale dodoma airport umefika lakini, hiyo terminal mpya na yakisasa inhejengwa wapi?? Kuluvyo banana vile.I will stand with my point always . Dodoma haikuhitaji new international airport mwaka huu labda , 2030s the regional Airport was more than enough , ina runway ya 2.5m inatosha A220s na E190s kutua . Ilohitaji tu a good terminal buildinig with good capacity na 5star standards .
Airport ingejengwa 2030s , hio 200mi usd ingeenda kumalizia SGRs au Kupanua Dar port iwe na gati nyingi zaidi
It was a good priority but wrong time
Komwe huzaa komwe 🤣🤣🤣🤣Alafu mbona wakenya wana makomwe hivi!!??
Sema kwa standard wanayotaka kuifanya dodoma ni lazma wapate international ya kisasa Sana tena mapema ili kuvutia uwekezaji Hasa kimataifa zikiwemo balozi na ofisi za mashirika yakidunia, na pili pia nikurahisisha shughuli za kiuchumi kwani dodoma inaenda kua kama Beijing ya china walifanya same processI will stand with my point always . Dodoma haikuhitaji new international airport mwaka huu labda , 2030s the regional Airport was more than enough , ina runway ya 2.5m inatosha A220s na E190s kutua . Ilohitaji tu a good terminal buildinig with good capacity na 5star standards .
Airport ingejengwa 2030s , hio 200mi usd ingeenda kumalizia SGRs au Kupanua Dar port iwe na gati nyingi zaidi
It was a good priority but wrong time
Umeita our media useless based on Jamiifurum caption?Bro, hivi kwa picha mtu anaweza hojiwa?
Too shameless.They even trust us with their academic writing projects. Kenya is the hub of academic writing in Africa for American and British students who can't write their own papers
Tanzania hakuna nyumba za bati lkn Kenya zipo maelfu ya nyumba za mabati, hivi wewe kwa akili zako unaweza kulinganisha umaskini wa Tanzania na Kenya kweli? Hivi watanzania wanaweza kuwa maskini kuliko wakenya? Mbona mnaleta battle za kitoto sn humu.
Kundustan pekee ndio wamebakia wanasafiria vyuma chakavu 😆😆
Raha ziko Tanzania 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C6qNsnGugrJ/?igsh=MTU0cW50ZWYxcXc5aA==
Ni za Kundustan 😆😆👇👇So Tahmeed ni za Tanzania?😂😂😂
Gari imeundwa Kenya na unapiga kelele.