Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wanashinhilia Kenya kuwa na floods while kwao watu wanakufa kama mende😂😂😂

1714136060869.jpg
 
Unakumbuka walikuwa na suala la sukari yenye mercury miaka michache iliyopita!
Na haya mambo sio Sisi tu, na Uganda pia wanawafanyia hivi hivi. Maziwa ya unga ya Uganda hawataki, eti kila kilo moja inayokataliwa inasave 10 litres kwao.

Yani wanagombana na kila mtu. Halafu ukiretaliate, wanaanza kuplay victim. Rubbish country!!
 
Kuna kitu kinaitwa "sustainable building" sidhani kama unafahamu lakini. Kwa mfano hii station hapo juu. Why build such a building in the middle of no where!!
Station zote za Tanzania zilijengwa according to the current and future population demand. Sio kwa ajili ya kiwafurahisha wakenya. Treni sio kama ndege eti kuna reporting time. Hakuna haja ya kujenga lisehemu la watu kulala lala tu!
 
Kuna kitu kinaitwa "sustainable building" sidhani kama unafahamu lakini. Kwa mfano hii station hapo juu. Why build such a building in the middle of no where!!
Station zote za Tanzania zilijengwa according to the current and future population demand. Sio kwa ajili ya kiwafurahisha wakenya. Treni sio kama ndege eti kuna reporting time. Hakuna haja ya kujenga lisehemu la watu kulala lala tu!
Hakuna tofauti ya Stations zenu na Toilets za Machakos County.
 
Wakenya terminals zenu nzuri sana tena sana...shida ipo kwenye treni yenu na speed yake😂😂😂
If you use common sense huwezi fananisha diesel engine vs electric train
Terminal nzuri lakini sio green kwenye design yake na pia gari moshi likiingia hapo moshi kama wote na hewa hubadilika na kuwa ya ukaa.
 
Back
Top Bottom