Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Those are small stadiums in Kenya na ziko mingi like that. Tanzania outside Makwapa Stadium there’s nothing else.
Acha kujifrahisha we fala, kwanza siku HARAMBEE STARS IKICHEZA MECHI ZA KALENDA YA FIFA/CAF hapo nyumbani ndio uje kutupigia kelele.

Unatuwekea uchafu mwingi, huu ni mwaka wa ngapi timu yenu ya taifa inatangatanga.
 
Acha kujifrahisha we fala, kwanza siku HARAMBEE STARS IKICHEZA MECHI ZA KALENDA YA FIFA/CAF hapo nyumbani ndio uje kutupigia kelele.

Unatuwekea uchafu mwingi, huu ni mwaka wa ngapi timu yenu ya taifa inatangatanga.
Hamna stadiums Tanzania apart from Makwapa.
 
In the list of top four stadiums in Tanzania, three of them qualify CAF standards. Sasa hao mbwa hawana hata uwanja mmoja wenye uko na CAF standards 😂 😂😂 wonderful enough wako hapa kujipiga kifua eti wako na stadias bora than us.
 
Stadiums in Tanzania. No wonder wako na mauchungu sana😂😂


Angalia running track😂
1713351324676.jpg
 
In the list of top four stadiums in Tanzania, three of them qualify CAF standards. Sasa hao mbwa hawana hata uwanja mmoja wenye uko na CAF standards 😂 😂😂 wonderful enough wako hapa kujipiga kifua eti wako na stadias bora than us.
One of those stadiums ni ya Azam that can't even compete with Bomu. CAF standards hazina viti😂
 
Bado sijagusa, Nina ubao/nenge kinoma Arifu, fanya maelekezo basi mzee nani, niingie hapo ndichi. 😂😂😂
Unangoja msichana wa watu akununulie food?

Naezakununulia juu najua huna pesa, wewe huwa maskini sana.
 
Back
Top Bottom