Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Oooh sikujua kwa akina ichoboy01 ni Yemen😂😂😂. Yani jamaa anatoroka one LDC to another LDC.

I think Yemen is poorer than Tanzania 😂😂
Yemeni ni nchi ilokua na vita tokea 1990.
Haikuwahi kuwa stable,ila ikiwa stable itakua juu sana kiuchumi.
 
nimekutana na mechi ya ligi kuu ya kenya , honestly I take this as a Joke. Mpira mbovu, poor stadium , pitch mbovu na Chafu kama shamba la mpunga, hivi Kwanini Azam asinunue ligi hata ya Rwanda au Uganda? Imagine wachezaji ni wengi kuliko mashabiki. Na hawa ndio wanataka waandae Afcon View attachment 2963411View attachment 2963412View attachment 2963413View attachment 2963414
Edna uangalie Chapa Dimba uone real soccer there


View: https://www.youtube.com/live/11Id8IAFI-8?si=duhKVBMw-X7R1Qff
 
Chapa Dimba Kisumu
1713044145586.jpg
1713085061996.jpg
 
Mulipigwa, Azam haina exclusive copyrights za KPL, FKF iliwauzia KBC hatimiliki ya kuonyesha mechi za KPL ($1.25m) kwa free to air platforms. Sasa nani atanunua decoder za Azam wakati KBC inashika mpaka kwenye digital tvs bila malipo. Ndo maana nikasema wacha tule pesa za wajinga.
Aawapii Leta evidence ya huo mkataba wa FKF na KBC kama hii!

View: https://youtu.be/Yw6o92_8xjo?si=YdjGzV3D_CZHa3Bl


KBC hiihii inayoshindwa kulipa mishahara kwa wafanyakazi wake!

 
Back
Top Bottom