Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Today I’m not engaging vijana maskini kama wewe.
Hii picha yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe 👇
1708410304070.png
😂😂😂.
 
Hii picha yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe 👇View attachment 2963235😂😂😂.
I can see you take refuge in my picture when I was still a student, meaning huna uwezo wa kujilinganisha na Teargas wa 2024.

Again in that picture, those shoes alone inaezakulisha mwezi mzima cause I know you are always cheap.
 
I can see you take refuge in my picture when I was still a student, meaning huna uwezo wa kujilinganisha na Teargas wa 2024.

Again in that picture, those shoes alone inaezakulisha mwezi mzima cause I know you are always cheap.
Mimi nikiwa student nilikua bora than how you are currently. Juu mimi si shamba boi like you 😂😂😂😂.
 
Wewe ni maskini mbele na nyuma. Again ni student gani unaongelea? Wewe hukuwaikanyaga any University in your life.
😂😂😂😂 Basi mzee nisije nikakuharibia weekend yako bure. Shamba boy.. kumbe ulisema unatokea chaka gani vile.?
 
Kwahiyo KBC anarusha maudhui ya Azam TV bure!!🤣🤣🤣

Kweli shule inawahusu. Mko nyuma sana aisee 🤣🤣🤣
Mulipigwa, Azam haina exclusive copyrights za KPL, FKF iliwauzia KBC hatimiliki ya kuonyesha mechi za KPL ($1.25m) kwa free to air platforms. Sasa nani atanunua decoder za Azam wakati KBC inashika mpaka kwenye digital tvs bila malipo. Ndo maana nikasema wacha tule pesa za wajinga.
 
Mulipigwa, Azam haina exclusive copyrights za KPL, FKF iliwauzia KBC hatimiliki ya kuonyesha mechi za KPL ($1.25m) kwa free to air platforms. Sasa nani atanunua decoder za Azam wakati KBC inashika mpaka kwenye digital tvs bila malipo. Ndo maana nikasema wacha tule pesa za wajinga.
Mbona unapenda kujuongopea wewe mpumbavu? 😂😂😂
 
Ona takataka anatupigia kelele hapa.

Kwani siku mungu alikuwa anaumba watu uliongana hili upewe maskio na mapua kubwa kubwa?

1713088507467.jpeg
 
Back
Top Bottom