Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww khayawani kweli Nani aliekwambia BBC inamilikiwa na Nairobi 😅😅😅😅😅😅 View attachment 2948358
IMG_0135.png
 
Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.

Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.
Tanzania ndio abroad yenu, wapi kwengine mtaenda zaidi ya Tanzania, mna majirani wa5 lakini Tanzania ndio your default option sometimes mnajifanyaga Uganda is your close sister country lakini hata tuwatoboe macho bado mtakuja Tanzania tu mpende msipende, kila siku mnaropoka traffic wetu wanawaonea mara Tanzanians ni hostilities lakini next round mnadouble arrivals number, haisaidii acha tuwatese tu at your own costs.
 
Hii rally tumekua tukiiandaa kila mwaka sasa wewe na ujing awako unadhani huu mwaka tunaiandaa kisa kuna mpira unachezwa hapo kwenu?
Heheheee na kwnn mmezidisha kasi kuanzia leo kwani habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna rally zimetoka leo? Wacheni upumbavu hakuna mtu asiyejua ukubwa wa mechi ya leo na kesho, alafu mechi yenyewe ni quarter finals ya caf champions league, koma kulinganisha mashindano makubwa kama haya na huo upuuzi wenu wa Rally inayofanyika Africa alafu Africa yenyewe Kenya.
 
Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.

Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.
🤣🤣🤣🤣 Teargas bana. Nakukubali kwa kukaza fuvu.
 
Back
Top Bottom