Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Huyu Collins Okinyo amekuwa celeb hapo bongo, huku kwetu hata hatumjui. Mimi ndio mara ya kwanza namsikia kwa hii thread. Seems you guys are so hungry for our validation.
Imagine I had to google that name to ascertain he is a Kenyan. Venye wamefurahi ungedhani ni Jeff Koinange ama Larry Madowo ndio ako Tanzania talking about CAFCL.
 
Boeing CEO, Dave Calhoun na mabosi wengine watatu, wamefukuzwa kazi, hii ni baada ya whistleblower aliyefichua madudu ya kampuni hiyo kuuawa wiki jana. Nilimekuwa nikilalamika hapa kwa miaka zaidi ya miwili kuhusu ATCL kuendelea kununua hizi ndege za 737 MAX. Tena kuna watu hapa, mmoja wao akiwa ni joto la jiwe alizitetea sana ndege hizi, akidai zimekarabatiwa.

Baadhi ya watu hawaelewi kuwa Boeing ni kampuni bomu kwa sasa. Hii ilikuwa ni kampuni nzuri sana zamani, enzi hizo wakiwa na kamsemo kao "Boeing is a company of engineers", dhana ilikuwa, "to build a good piece of engineering and they will come". Wakimaanisha kutengeneza bidhaa bora kuzingatia usalama na kila dhana ya kiuhandisi.

Mambo yalibadilika 1997 pale Boeing ilipoungana na McDonnell Douglas, kampuni iliyokuwa na dhana tofauti, yaani wao faida kwa stock holders ndo kila kitu, hata kama watatengeneza crappy products. Baada ya merging, vigogo wa McDonnell Douglas ndiyo wakawa waendesha kampuni, Boeing ikabaki jina tuu. Product ya viongozi wa McDonnell Douglas ndiyo haya majeneza yanayoelea yanayoitwa 737 MAX.

Watu wanaojielewa siku hizi hawapandi tena hizi ndege, including Boeing employees.
Twende China kama vipi tukanunue kwao asee! Maana American standard ni ufala ndio hivyo.
 
Huyu Collins Okinyo amekuwa celeb hapo bongo, huku kwetu hata hatumjui. Mimi ndio mara ya kwanza namsikia kwa hii thread. Seems you guys are so hungry for our validation.
Ila nyie ndugu wabishi, asingekuwepo mngesema no Kenyans care, ila akiwepo mnasema hammjui, kama yule wa EACOP.

Shikilia moja ikiwa Raia wenu manawakana ili kuepusha kukiri what the?

Nakumbuka ulisema kwenye maandamano dhidi ya EACOP sio wakenya ukaletewa ushahidi ukala kona kua yeye ni insignificant, swali: Ni mkenya or?

Na hao followers wake wote huwaoni?

Mpaka anaandaa makala ya Gazeti za the Star.
 
Imagine I had to google that name to ascertain he is a Kenyan. Venye wamefurahi ungedhani ni Jeff Koinange ama Larry Madowo ndio ako Tanzania talking about CAFCL.
Huaga unachomoaga wapi hoja zako? Matakoni au? Kuna Sports Journalist, na Kuna News Correspondent, na Kuna ambao uandishi wao umebasi kwenye dialogue na watu mashuhuri.

Hao uliowataja sio sports journalists, ila huyo mnayemkana ni sports journalist.

Sometimes kabla hujaanza kuharisha humu uwe unaangalia kwanza unacholeta na mada iliyo kwa meza.
 
Lakini nani aliroga hawa majirani ...
1711792617873.png
 
Lakini nani aliroga hawa majirani ...
View attachment 2949014
How can u be broke yet unanunua ndege kubwa za thamani ww mwenyewe hujiulizi swali ??🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mbona kq hamnunui ndege yet muna loss inawatafuta over 11years,

Shirika Lina 50yrs bado linamiliki ndege tatu chakavu 😀😀😀😀

Alaf gazeti la Kenya 😅😅😅😅😅😅
 
Ila nyie ndugu wabishi, asingekuwepo mngesema no Kenyans care, ila akiwepo mnasema hammjui, kama yule wa EACOP.

Shikilia moja ikiwa Raia wenu manawakana ili kuepusha kukiri what the?

Nakumbuka ulisema kwenye maandamano dhidi ya EACOP sio wakenya ukaletewa ushahidi ukala kona kua yeye ni insignificant, swali: Ni mkenya or?

Na hao followers wake wote huwaoni?

Mpaka anaandaa makala ya Gazeti za the Star.
Alaf ajabu ya hii dunia mkenya ndio anaumia Uganda na Tanzania kuharibu misitu Yani vitu havimuhusu alaf anaumia yeye😅😅😅😅 alshabab wanachapa Huko Lamu huskii hata akitoa comment
 
Back
Top Bottom