Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 13,165
- 16,821
Endeleeni kusifu unknown tournaments.Punguza papara😎
Endeleeni kusifu unknown tournaments.Punguza papara😎
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Koora live nayo ni betting au sioLivescrore and betting are same thing.
Ww khayawani kweli Nani aliekwambia BBC inamilikiwa na Nairobi 😅😅😅😅😅😅 View attachment 2948358
Hata usemeje haisaidii😎😎Endeleeni kusifu unknown tournaments.
So kuwepo ofisi ndio kumiliki na hapa ingeandikwa basi makao makuu yako Nairobi sio London 🤣🤣🤣👇👇👇👇👇
Yani hata sijui analilia nn 🤣🤣🤣 labda anahisi akisema hvo mambo yatabadilikaHata usemeje haisaidii😎😎
Unajadiliana na jobless kutoka Kibera 🤣 🤣 🤣Ww khayawani kweli Nani aliekwambia BBC inamilikiwa na Nairobi 😅😅😅😅😅😅 View attachment 2948358
Tanzania ndio abroad yenu, wapi kwengine mtaenda zaidi ya Tanzania, mna majirani wa5 lakini Tanzania ndio your default option sometimes mnajifanyaga Uganda is your close sister country lakini hata tuwatoboe macho bado mtakuja Tanzania tu mpende msipende, kila siku mnaropoka traffic wetu wanawaonea mara Tanzanians ni hostilities lakini next round mnadouble arrivals number, haisaidii acha tuwatese tu at your own costs.Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.
Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.
Zima hiyo kitu.Maybe macho ya watanzania nobody knows about CAF.
Show me any Asian News outlet talking about CAF.
View: https://twitter.com/DirtFishRally/status/1773706363174105582?s=19
Ila angekua anaongelea Rally angejulikana?Huyu hata hajulikani Kenya. Ilibidi nigoogle jinake to confirm if indeed he is a Kenyan.
Heheheee na kwnn mmezidisha kasi kuanzia leo kwani habari kwamba mwaka huu huko kwenu kuna rally zimetoka leo? Wacheni upumbavu hakuna mtu asiyejua ukubwa wa mechi ya leo na kesho, alafu mechi yenyewe ni quarter finals ya caf champions league, koma kulinganisha mashindano makubwa kama haya na huo upuuzi wenu wa Rally inayofanyika Africa alafu Africa yenyewe Kenya.Hii rally tumekua tukiiandaa kila mwaka sasa wewe na ujing awako unadhani huu mwaka tunaiandaa kisa kuna mpira unachezwa hapo kwenu?
Wewe ukapimweNimewaambia wanionyeshe any news outlet outside Africa talking about CAF wakashindwa. Hata Kenya, Uganda, Ethiopia, Nigeria, Ghana, Morroco, Ivory Coast, Senegal, Angola and DRC hakuna any news outlet talking about CAF.
Tofauti na hawa mamantilie wa Uganda waliokuja kuhustle kwenye hayo mashilingi yenu nani mwingine kaja?Hii rally tumekua tukiiandaa kila mwaka sasa wewe na ujing awako unadhani huu mwaka tunaiandaa kisa kuna mpira unachezwa hapo kwenu?
Hilo turubai la msiba mnajenga kwa ajili ya nini?Nani anawaangalia? Nobody cares about CAF.
🤣🤣🤣🤣 Teargas bana. Nakukubali kwa kukaza fuvu.Kwani hujaijua tourism industry ya Tanzania is controlled by Kenyans? Bila Kenyans Tanzanian tourism receipts will be below $1B.
Again Kenyans got money to spend, watanzania umaskini has blocked them from even touring their own country.