Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Shabiki wa Simba alietoka Kenya🤣🤣🤣
Sikieni Kiswahili yake

View: https://youtu.be/sltnVEidM7M?si=DTAvFThj-wPcC5O6
Screenshots_2024-03-30-01-35-12.png
 
It's actually the other way. Kama ungekuwa na akili ungeliona hilo kitambo.

Kila mtu anajua sahivi, ili upate unachotaka kunyaland basi wewe taja Tanzania Tu 🤣
Mloshangilia humu vile mmeteka Soko la Ug alafu sahii mnajaribu kutafuta PA kutokea. Uganda wanewacheza
 
Kama hujui kizungu usilazimishe kuandika armature na kuvaa viatu vya skating😎
Since you love correcting Kenyans on their vocabulary, I will be honored to alert you … I think you meant amateur NOT armature, which is a metal device …🤓😜
 

Zanzibar ni kisiwa kinachojinasibu na sheria za kiislam.
Kama USA na France wanavyojinasibu na ukristo.
Huyo kakamatwa anakula hadharani.
Kama alitaka kula angekula ndani.
Ila wakristo wanaishi kwa amani tu hapo Zanzibar.
Mwezi huu kuna mtu alikamatwa akivunja kanisa Zanzibar akachukuliwa hatua za kisheria.
Kama ingekua hakuna haki basi wangemtetea kisa muislam.
MSIWE MNASHABIKIA TU KIPUUZI PUUZI PASI NA KUJUA CHANZO NI NINI.
 
Kitu Uganda imefanyia Tanzania ni Kama msichana amedarwa alafu akishashikwa na nyege mwanaume anamuacha hapo kwa kitanda.
Mbona jambo la kawaida sana!?
Huu mkataba na suala la EACOP lipi ni jambo kubwa na lenye faida zaidi?
Huo mkataba na mkataba wa Ug kutumia TRC kusafirisha mizigo yake lipi jambo kubwa zaidi??
Hilo ni jambo dogo sanaa sijaona cha kushangilia hapo.
 
Boeing CEO, Dave Calhoun na mabosi wengine watatu, wamefukuzwa kazi, hii ni baada ya whistleblower aliyefichua madudu ya kampuni hiyo kuuawa wiki jana. Nilimekuwa nikilalamika hapa kwa miaka zaidi ya miwili kuhusu ATCL kuendelea kununua hizi ndege za 737 MAX. Tena kuna watu hapa, mmoja wao akiwa ni joto la jiwe alizitetea sana ndege hizi, akidai zimekarabatiwa.

Baadhi ya watu hawaelewi kuwa Boeing ni kampuni bomu kwa sasa. Hii ilikuwa ni kampuni nzuri sana zamani, enzi hizo wakiwa na kamsemo kao "Boeing is a company of engineers", dhana ilikuwa, "to build a good piece of engineering and they will come". Wakimaanisha kutengeneza bidhaa bora kuzingatia usalama na kila dhana ya kiuhandisi.

Mambo yalibadilika 1997 pale Boeing ilipoungana na McDonnell Douglas, kampuni iliyokuwa na dhana tofauti, yaani wao faida kwa stock holders ndo kila kitu, hata kama watatengeneza crappy products. Baada ya merging, vigogo wa McDonnell Douglas ndiyo wakawa waendesha kampuni, Boeing ikabaki jina tuu. Product ya viongozi wa McDonnell Douglas ndiyo haya majeneza yanayoelea yanayoitwa 737 MAX.

Watu wanaojielewa siku hizi hawapandi tena hizi ndege, including Boeing employees.
 
Mchizi leo kujifanya eti yeye ni huyo mwamba kwenye picha, akiona ili tujue kwamba ni yeye eti akaificha sura ya huyo binti 😂😂😂 ooooh my guy Reborn Ktb we all know uko na dream ya kufika Arusha, ushauri wangu wa bure kwako kaka, subiri muda bado and trust the process, utatimiza tu ndoto zako buda.
Nimeficha sura kwa Sababu ya privacy ya huyo Dada.
 
Back
Top Bottom