Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The head of Chinese delegation after arriving back in China was asked when they will start the Arusha pet Stadium and this what he said….🤣🤣🤣🤣🤣🤣
IMG_2679.jpeg
 
Wamesema fungua usome zaidi:

Boeing 737 Max9, ambayo iko katika hatua ya makabidhiano, na moja ya masafa marefu aina ya Boeing 787-8, ambayo ipo katika hatua ya uundwaji
Nililalamika hapa zaidi ya mwaka sasa kuhusu kununua hizi 737 max 9 watu wakazitetea sana hapa kuwa wamezikarabati sijui nini? Hizi ndege zinamatatizo, majuzi tuu Alaska airlines imepata matatizo ikiwa angani. Hizi ndge hazifai, sijui kwa nini ATCL wanazing'ang'ania.
 
Back
Top Bottom