ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,431
- 85,268
Wakenya wana maisha magumu mno, kwa Afrika hii ukitoa wa Ethiopia wanafuatia wakenya, wana hali mbaya mnooo, nchi iko hovyo sana, kuna gape kubwa sana sana kati ya tajiri na maskini, no future in Kenya, tajiri huwa anabaki kuwa tajiri na maskini anabaki kuwa maskini na ndiyo maana nakupa homework chunguza nchi ambazo raia wake hawatulii nyumbani kama kenya na Ethiopia utagundua ndiyo failed state, hawa wakenya wa humu wanajua ukweli sema tunawafariji tu hapa. Mkenya akija Tanzania hataki kutoka kabisa lkn hakuna mtanzania anawaza kwenda kenya, wengi wao wanaishi kwenye ma slums hata hawa wa humu kama mitandao ingekuwa inasema 90% tusingekuwa nao humu.
Mchina hoyee tushangilie wote 🤣🤣🤣🤣🤣
Sijui mchina ataifanya nn hii nchi yarabi
View: https://twitter.com/Mohamedida/status/1771993336791859404?t=kmYz7Ppxl-k4eusL5SzkeQ&s=19
View: https://twitter.com/RobertN01599705/status/1772019429590659263?t=fp-VndPiYpwlPMVAdwgn-w&s=19
View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1772155789068648530?t=bM6MBXqYQELoRy0uuBz4pw&s=19
Ya Tanzania na Uganda zimependeza sana.Zamani ungeona picha ya ndege moja kq lakini SASA hvi mambo yamebadikika 🤣🤣👇
View attachment 2944308
Aisee!
Sifa za mbwa ni kubweka🤣🤣Haya masenge hayapendi kuona tukiendelea, ile mechi na Bulgaria tulizingua wenyewe tu, pengine ni ugeni wa wachezaji wetu kucheza na mataifa makubwa ila now ndo tumeanza kuonesha kwamba cc ni footballing nation 🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2944433
Ugali na sukari alibaki yeye na kipa akapiga mpira mbinguni Naskia mpaka Leo mpira wanausubiri haujatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haya masenge hayapendi kuona tukiendelea, ile mechi na Bulgaria tulizingua wenyewe tu, pengine ni ugeni wa wachezaji wetu kucheza na mataifa makubwa ila now ndo tumeanza kuonesha kwamba cc ni footballing nation 🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2944433
Tunamwazibu mongolia huku wasijisahaulishe
Teargas nairobae Reborn Ktb asanteni kwa support yenu 🤝🤝🤝😁😁😁
View: https://twitter.com/azamtvtz/status/1772275612691866077?t=ULOUPgt_4RKR7KwzFH84GQ&s=19
Sifa za mbwa ni kubweka🤣🤣
View attachment 2944434
South Sudan ilowafunga yangapi ki rank za Fifa?Sifa za mbwa ni kubweka🤣🤣
View attachment 2944434
Hii ni Dalili ya maumivu kwann hamuna shukurani nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mchina hoyee tushangilie wote 🤣🤣🤣🤣🤣
Sijui mchina ataifanya nn hii nchi yarabi
View: https://twitter.com/Mohamedida/status/1771993336791859404?t=kmYz7Ppxl-k4eusL5SzkeQ&s=19
View: https://twitter.com/RobertN01599705/status/1772019429590659263?t=fp-VndPiYpwlPMVAdwgn-w&s=19
View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1772155789068648530?t=bM6MBXqYQELoRy0uuBz4pw&s=19
Teargas nairobae Reborn Ktb asanteni kwa support yenu 🤝🤝🤝😁😁😁
View: https://twitter.com/azamtvtz/status/1772275612691866077?t=ULOUPgt_4RKR7KwzFH84GQ&s=19
Huyu matako kabadili gear angani, sio huyu alisema tutapoteza tena 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sifa za mbwa ni kubweka🤣🤣
View attachment 2944434
kwanini nyie hamshiriki haya mashindano?Mongolia yenye iko 190 kwa FIFA ranking ndio unafurahia kupiga bao tatu. 😂 😂 😂
Msenge sana yule mtoto, ata kibu naye miyeyusho, kuna wachezaji pale stars wanatakiwa kutoka kama Himid mao ni mzee mnoo, ugali na sukari yuko vizuri ila ubovu wake ni international matches anakuwa hovyo sana.Ugali na sukari alibaki yeye na kipa akapiga mpira mbinguni Naskia mpaka Leo mpira wanausubiri haujatua🤣🤣🤣🤣🤣🤣